Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
hata nusu slesi unapata
Hizi tafsida sasa jamani mmmmh!!
Mi nitakuja na boflo kabisa
hata nusu slesi unapata
Hivi hapo ARusha pana nini ...jamani naomba muande BBQ na mie mnikaribishe LOL ,
Preta ,PJ ,Nyamayao ..nasubiri mwaliko
wakuu karibuni Arusha na Moshi,huku tumeamka kutoka usingizini,hatudanganywi tena