kenny mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 316
- 831
Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale kuna mwanamke wa mtu hapa mtaani ananipenda sana anasema yupo tayari aachane mumewe ili aje kwangu na ukiangalia mumewe ni mwanajeshi na mimi nimemwambia tuachane kaa na mmeo ila hataki ameniganda na mimi naogopa mke wa mtu sumu...
Nifanyaje?
Nifanyaje?