mwendakwao chayi
Senior Member
- Jul 19, 2014
- 114
- 97
Vumilia ndugu yangu kubezwa na kusimangwa ni kawaida kikubwa heshimu nafsi yako inataka nini
Teh teh teh teh teh 😂😂😂 huu uzi unafurahisha sana, hivi ile ahadi yako ya million 100 kwa Ccm uliitimiza?...Wanabodi,
Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!
Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!, na wenyewe wenyewe ndio sisi, mimi nikiwemo!. Asiyekubali kushindwa sio mshindani.
Pili despite the facts ni njia gani walizotumia kushinda, the end justifies the means, nawapongeza kwa dhati washindi wote,
Na tatu hili nilisema kwa moyo wangu, sina kinyongo chochote kushindwa, naahidi ushirikiano, na ile ahadi ya kutoa TZS Milioni 100 kwa CCM, nitaitimiza kupitia fund raising na sio kutoka mfukoni kwangu, hivyo naahidi ushirikiano wa dhati na kuendelea kuwa mwanachama mtiifu wa CCM.
Nipeni tu pole!.
Kidumu Chama cha Mapinduzi.
CCM Oye!.
Paskali
Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
Uchaguzi 2020 - Kawe kunani? Why is a hot cake? Wamejitokeza wagombea 176! What is so special ? Kuchinja watu 175 kubaki 1, is not a joke!.Je, atakuwa nani?
Uchaguzi 2020 - Wingi wa wagombea CCM ni uthibitisho kazi nzuri ya Rais Magufuli kwa taifa letu. Je, Oktoba ni kuchagua au kuthibitisha tu taratibu?
Yes niliattach cheque. Wakati mtu unajipinda unakopa TZS 100M kukichangia chama chako pesa iingie chamani na kwenda kwenye miradi ya maendeleo, wenzako wenye kisu kikali, wanachangia hadi ma B!. kila mjumbe anakatiwa fungu nene!. What do you expect?.Teh teh teh teh teh 😂😂😂 huu uzi unafurahisha sana, hivi ile ahadi yako ya million 100 kwa Ccm uliitimiza?...
Teh teh teh 😂😂😂 yaani Ccm imefikia huko?... anyway siasa inahitaji uwekezaji...jipange upya unaweza ukapata ikibidi tafuta 'connection' ( kwako ni rahisi kupata maana unafahamika) na wanasiasa wakubwa wenye nyadhifa.Yes niliattach cheque. Wakati mtu unajipinda unakopa TZS 100M kukichangia chama chako pesa iingie chamani na kwenda kwenye miradi ya maendeleo, wenzako wenye kisu kibali, wanachangia hadi 1B!. kila mjumbe anakatiwa fungu nene!. What do you expect?.
P
Hivi kweli wewe ni CCM ni opportunistic ukiangalia wapi penye MLOWanabodi,
Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!
Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!, na wenyewe wenyewe ndio sisi, mimi nikiwemo!. Asiyekubali kushindwa sio mshindani.
Pili despite the facts ni njia gani walizotumia kushinda, the end justifies the means, nawapongeza kwa dhati washindi wote,
Na tatu hili nilisema kwa moyo wangu, sina kinyongo chochote kushindwa, naahidi ushirikiano, na ile ahadi ya kutoa TZS Milioni 100 kwa CCM, nitaitimiza kupitia fund raising na sio kutoka mfukoni kwangu, hivyo naahidi ushirikiano wa dhati na kuendelea kuwa mwanachama mtiifu wa CCM.
Nipeni tu pole!.
Kidumu Chama cha Mapinduzi.
CCM Oye!.
Paskali
Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
Uchaguzi 2020 - Kawe kunani? Why is a hot cake? Wamejitokeza wagombea 176! What is so special ? Kuchinja watu 175 kubaki 1, is not a joke!.Je, atakuwa nani?
Uchaguzi 2020 - Wingi wa wagombea CCM ni uthibitisho kazi nzuri ya Rais Magufuli kwa taifa letu. Je, Oktoba ni kuchagua au kuthibitisha tu taratibu?
Sawa pole mtani wangu Pascha.Lakinii Paschal kwani wewe hukujua kwamba CCM ina wenyewe? Tena wewe uliyekuwa reprimanded Dodoma,sahau.Wenyewe ni akina Kikwete na sasa Samia,Kinana,Makamba,Nape,marafiki zao,maswahiba wao na ndugu zao,wewe utaonekana wapi?Tafuta ugali wa watoto wako ridhika!Tamaa za Fisi zitakuponza.Wanabodi,
Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!
Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!, na wenyewe wenyewe ndio sisi, mimi nikiwemo!. Asiyekubali kushindwa sio mshindani.
Pili despite the facts ni njia gani walizotumia kushinda, the end justifies the means, nawapongeza kwa dhati washindi wote,
Na tatu hili nilisema kwa moyo wangu, sina kinyongo chochote kushindwa, naahidi ushirikiano, na ile ahadi ya kutoa TZS Milioni 100 kwa CCM, nitaitimiza kupitia fund raising na sio kutoka mfukoni kwangu, hivyo naahidi ushirikiano wa dhati na kuendelea kuwa mwanachama mtiifu wa CCM.
Nipeni tu pole!.
Kidumu Chama cha Mapinduzi.
CCM Oye!.
Paskali
Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
Uchaguzi 2020 - Kawe kunani? Why is a hot cake? Wamejitokeza wagombea 176! What is so special ? Kuchinja watu 175 kubaki 1, is not a joke!.Je, atakuwa nani?
Uchaguzi 2020 - Wingi wa wagombea CCM ni uthibitisho kazi nzuri ya Rais Magufuli kwa taifa letu. Je, Oktoba ni kuchagua au kuthibitisha tu taratibu?
kwani mkewe mjumbe wa huo mkutano au huo uchaguzi ?Ina maana hata mkeo hakukupigia kura pascal???
Wanabodi,
Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!
Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!, na wenyewe wenyewe ndio sisi, mimi nikiwemo!. Asiyekubali kushindwa sio mshindani.
Mkuu econonist , hili mbona niliisha likubali siku nyingi na kujitokeza kuwaomba msinicheke wala msinibeze, mbona bado naendelea kunibeza?.Tangu Pascal Mayalla apate kura moja Kawe huwa namuona Kama comedian. Unashauri watu mambo ya siasa wakati wewe ni failure kwenye siasa?.
Mkuu econonist , hili mbona niliisha likubali siku nyingi na kujitokeza kuwaomba msinicheke wala msinibeze, mbona bado naendelea kunibeza?.
P.
Tulikuwa wagombea 176, kwa kumbukumbu yangu kuna wagombea maarufu kuliko mimi, matajiri wakubwa, na wengine walikuwa viongozi hadi Mwenyekiti wa CCM wa mkoa, waliambulia kura 0!, akiwemo huyo chawa!.Mkuu eti hadi Mwijaku alipata kura nyingi zaidi yako ?🐒
Nchi imetulia ila tuna vichaa wachache, wa wazimu wa kupanda na kushukaMkuu Hii nchi bado hujaijua vizuri nini?
😀😀😀
Nchi imetulia ila tuna vichaa wachache, wa wazimu wa kupanda na kushuka
p
ila wewe sio mmoja wao... Maana mara unakejeli ccm mara unataka wakuchague!!Nchi imetulia ila tuna vichaa wachache, wa wazimu wa kupanda na kushuka
p
Mimi ni Kada wa Nyerere type, hatutakagi ujinga, hivyo hata chama changu kikifanya madudu tunakikosoa!. Kinondoni na Siha, tusikubali ujinga huu! hata Mwl. Nyerere alikataa ujinga wa CCM, 1995 akachagua upinzani!ila wewe sio mmoja wao... Maana mara unakejeli ccm mara unataka wakuchague!!
Siku zote nabii hakubaluki nyumbani, na mganga hajigangi!.Wale washkaji mlikuwa mnapiga bia pamoja, mke, watoto, ndugu, marafiki, wote wameona hautoshi