Uchaguzi 2020 Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!

Wanabodi,

Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!

Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!, na wenyewe wenyewe ndio sisi, mimi nikiwemo!. Asiyekubali kushindwa sio mshindani.

Pili despite the facts ni njia gani walizotumia kushinda, the end justifies the means, nawapongeza kwa dhati washindi wote,

Na tatu hili nilisema kwa moyo wangu, sina kinyongo chochote kushindwa, naahidi ushirikiano, na ile ahadi ya kutoa TZS Milioni 100 kwa CCM, nitaitimiza kupitia fund raising na sio kutoka mfukoni kwangu, hivyo naahidi ushirikiano wa dhati na kuendelea kuwa mwanachama mtiifu wa CCM.

Nipeni tu pole!.
Kidumu Chama cha Mapinduzi.
CCM Oye!.

Paskali

Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata

Uchaguzi 2020 - Kawe kunani? Why is a hot cake? Wamejitokeza wagombea 176! What is so special ? Kuchinja watu 175 kubaki 1, is not a joke!.Je, atakuwa nani?

Uchaguzi 2020 - Wingi wa wagombea CCM ni uthibitisho kazi nzuri ya Rais Magufuli kwa taifa letu. Je, Oktoba ni kuchagua au kuthibitisha tu taratibu?
Teh teh teh teh teh 😂😂😂 huu uzi unafurahisha sana, hivi ile ahadi yako ya million 100 kwa Ccm uliitimiza?...
 
Teh teh teh teh teh 😂😂😂 huu uzi unafurahisha sana, hivi ile ahadi yako ya million 100 kwa Ccm uliitimiza?...
Yes niliattach cheque. Wakati mtu unajipinda unakopa TZS 100M kukichangia chama chako pesa iingie chamani na kwenda kwenye miradi ya maendeleo, wenzako wenye kisu kikali, wanachangia hadi ma B!. kila mjumbe anakatiwa fungu nene!. What do you expect?.
P
 
Yes niliattach cheque. Wakati mtu unajipinda unakopa TZS 100M kukichangia chama chako pesa iingie chamani na kwenda kwenye miradi ya maendeleo, wenzako wenye kisu kibali, wanachangia hadi 1B!. kila mjumbe anakatiwa fungu nene!. What do you expect?.
P
Teh teh teh 😂😂😂 yaani Ccm imefikia huko?... anyway siasa inahitaji uwekezaji...jipange upya unaweza ukapata ikibidi tafuta 'connection' ( kwako ni rahisi kupata maana unafahamika) na wanasiasa wakubwa wenye nyadhifa.

Ila mkuu kuwapa Ccm 100 million alafu usipate chochote kutoka kwao umekosea sana boss ni sawa na umetupa hela yako, bora ungeifanya ' pension' ule maisha.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!

Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!, na wenyewe wenyewe ndio sisi, mimi nikiwemo!. Asiyekubali kushindwa sio mshindani.

Pili despite the facts ni njia gani walizotumia kushinda, the end justifies the means, nawapongeza kwa dhati washindi wote,

Na tatu hili nilisema kwa moyo wangu, sina kinyongo chochote kushindwa, naahidi ushirikiano, na ile ahadi ya kutoa TZS Milioni 100 kwa CCM, nitaitimiza kupitia fund raising na sio kutoka mfukoni kwangu, hivyo naahidi ushirikiano wa dhati na kuendelea kuwa mwanachama mtiifu wa CCM.

Nipeni tu pole!.
Kidumu Chama cha Mapinduzi.
CCM Oye!.

Paskali

Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata

Uchaguzi 2020 - Kawe kunani? Why is a hot cake? Wamejitokeza wagombea 176! What is so special ? Kuchinja watu 175 kubaki 1, is not a joke!.Je, atakuwa nani?

Uchaguzi 2020 - Wingi wa wagombea CCM ni uthibitisho kazi nzuri ya Rais Magufuli kwa taifa letu. Je, Oktoba ni kuchagua au kuthibitisha tu taratibu?
Hivi kweli wewe ni CCM ni opportunistic ukiangalia wapi penye MLO
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!

Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!, na wenyewe wenyewe ndio sisi, mimi nikiwemo!. Asiyekubali kushindwa sio mshindani.

Pili despite the facts ni njia gani walizotumia kushinda, the end justifies the means, nawapongeza kwa dhati washindi wote,

Na tatu hili nilisema kwa moyo wangu, sina kinyongo chochote kushindwa, naahidi ushirikiano, na ile ahadi ya kutoa TZS Milioni 100 kwa CCM, nitaitimiza kupitia fund raising na sio kutoka mfukoni kwangu, hivyo naahidi ushirikiano wa dhati na kuendelea kuwa mwanachama mtiifu wa CCM.

Nipeni tu pole!.
Kidumu Chama cha Mapinduzi.
CCM Oye!.

Paskali

Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata

Uchaguzi 2020 - Kawe kunani? Why is a hot cake? Wamejitokeza wagombea 176! What is so special ? Kuchinja watu 175 kubaki 1, is not a joke!.Je, atakuwa nani?

Uchaguzi 2020 - Wingi wa wagombea CCM ni uthibitisho kazi nzuri ya Rais Magufuli kwa taifa letu. Je, Oktoba ni kuchagua au kuthibitisha tu taratibu?
Sawa pole mtani wangu Pascha.Lakinii Paschal kwani wewe hukujua kwamba CCM ina wenyewe? Tena wewe uliyekuwa reprimanded Dodoma,sahau.Wenyewe ni akina Kikwete na sasa Samia,Kinana,Makamba,Nape,marafiki zao,maswahiba wao na ndugu zao,wewe utaonekana wapi?Tafuta ugali wa watoto wako ridhika!Tamaa za Fisi zitakuponza.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!

Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!, na wenyewe wenyewe ndio sisi, mimi nikiwemo!. Asiyekubali kushindwa sio mshindani.
Tangu Pascal Mayalla apate kura moja Kawe huwa namuona Kama comedian. Unashauri watu mambo ya siasa wakati wewe ni failure kwenye siasa?.
Mkuu econonist , hili mbona niliisha likubali siku nyingi na kujitokeza kuwaomba msinicheke wala msinibeze, mbona bado naendelea kunibeza?.
P.
 
Mkuu eti hadi Mwijaku alipata kura nyingi zaidi yako ?🐒
Tulikuwa wagombea 176, kwa kumbukumbu yangu kuna wagombea maarufu kuliko mimi, matajiri wakubwa, na wengine walikuwa viongozi hadi Mwenyekiti wa CCM wa mkoa, waliambulia kura 0!, akiwemo huyo chawa!.

Ila pia kwenye ugombea, sometimes ni umaarufu wa mtu, naweza kugombea kitu na Joti, nikashidwa!.
P
 
Back
Top Bottom