Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,272
Mkuu Pasco, hiyo kura moja ulijipigia mwenyewe au kuna mjumbe alikupigia?
We bwana acha kujaza server na mambo yasiyo na mantiki, tuache tujishughulishe na wagombea, mambo yako yakukataliwa kayajadili na mkeo, au la subiri 2025.Mkuu Fundi, mimi ni mwana jf mwenzenu, nimejaribu, nimeshindwa, nikaleta bandiko humu kuwaomba msinicheke, msinibeze, bali nipeni pole kwa kushindwa bali pia nipongezeni kwa kujaribu!.
Kiukweli kushindwa kokote kunauma, ila kushindwa kwa kukataliwa kunauma zaidi, ila mimi ni mkomavu na mshindani wa kweli, asiyekubali kushindwa sio mshindani, tayari nimeisha tibu maumivu ya kushindwa, sasa tuko kwenye kampeni, tunawaunga mkono wale wote waliopitishwa na chama.
P
It's not fair kuendelea kunisimanga kwa kuambulia kura moja!, tulikuwa wagombea 176, waliopata angalau kura moja ni less than 30!. Kuna wagombea zaidi ya 140, miongoni mwao ni wanasiasa wakubwa hadi ngazi ya Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa, wamepata kura 0!, hivyo hiyo kura moko kwangu ni ushindi mkubwa!. After all, mimi ni mwana jf mwenzenu, baada ya kushindwa nilijitokeza nikawaomba nipeni pole, msinicheke, msinibeze, Uchaguzi 2020 - Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!, mbona mnaendelea kunibeza?.No wonder uliambulia kura moja
It was banter/troll nothing serious brotherIt's not fair kuendelea kunisimanga kwa kuambulia kura moja!, tulikuwa wagombea 176, waliopata angalau kura moja ni less than 30!. Kuna wagombea zaidi ya 140, miongoni mwao ni wanasiasa wakubwa hadi ngazi ya Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa, wamepata kura 0!, hivyo hiyo kura moko kwangu ni ushindi mkubwa!. After all, mimi ni mwana jf mwenzenu, baada ya kushindwa nilijitokeza nikawaomba nipeni pole, msinicheke, msinibeze, Uchaguzi 2020 - Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!, mbona mnaendelea kunibeza?.
P
Huo haukuwa uchaguzi, ulikuwa uchafuzi!It's not fair kuendelea kunisimanga kwa kuambulia kura moja!, tulikuwa wagombea 176, waliopata angalau kura moja ni less than 30!. Kuna wagombea zaidi ya 140, miongoni mwao ni wanasiasa wakubwa hadi ngazi ya Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa, wamepata kura 0!, hivyo hiyo kura moko kwangu ni ushindi mkubwa!. After all, mimi ni mwana jf mwenzenu, baada ya kushindwa nilijitokeza nikawaomba nipeni pole, msinicheke, msinibeze, Uchaguzi 2020 - Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!, mbona mnaendelea kunibeza?.
P
bora umeamua kutoa ya moyoni wenye kukuelewa tumekuelewaIt's not fair kuendelea kunisimanga kwa kuambulia kura moja!, tulikuwa wagombea 176, waliopata angalau kura moja ni less than 30!. Kuna wagombea zaidi ya 140, miongoni mwao ni wanasiasa wakubwa hadi ngazi ya Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa, wamepata kura 0!, hivyo hiyo kura moko kwangu ni ushindi mkubwa!. After all, mimi ni mwana jf mwenzenu, baada ya kushindwa nilijitokeza nikawaomba nipeni pole, msinicheke, msinibeze, Uchaguzi 2020 - Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!, mbona mnaendelea kunibeza?.
P
Ulifanya siri ukasahau Dunia iko kiganjani, mficha maradhi kifo humuumbuaIt's not fair kuendelea kunisimanga kwa kuambulia kura moja!, tulikuwa wagombea 176, waliopata angalau kura moja ni less than 30!. Kuna wagombea zaidi ya 140, miongoni mwao ni wanasiasa wakubwa hadi ngazi ya Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa, wamepata kura 0!, hivyo hiyo kura moko kwangu ni ushindi mkubwa!. After all, mimi ni mwana jf mwenzenu, baada ya kushindwa nilijitokeza nikawaomba nipeni pole, msinicheke, msinibeze, Uchaguzi 2020 - Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!, mbona mnaendelea kunibeza?.
P
We😄😄😄😄🙏🏽🙏🏽It's not fair kuendelea kunisimanga kwa kuambulia kura moja!, tulikuwa wagombea 176, waliopata angalau kura moja ni less than 30!. Kuna wagombea zaidi ya 140, miongoni mwao ni wanasiasa wakubwa hadi ngazi ya Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa, wamepata kura 0!, hivyo hiyo kura moko kwangu ni ushindi mkubwa!. After all, mimi ni mwana jf mwenzenu, baada ya kushindwa nilijitokeza nikawaomba nipeni pole, msinicheke, msinibeze, Uchaguzi 2020 - Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!, mbona mnaendelea kunibeza?.
P
Kawe 2025 Gwajima hawezi kutoboa. Hata kura za maoni tu ndani ya CCM hatatoboa.It's not fair kuendelea kunisimanga kwa kuambulia kura moja!, tulikuwa wagombea 176, waliopata angalau kura moja ni less than 30!. Kuna wagombea zaidi ya 140, miongoni mwao ni wanasiasa wakubwa hadi ngazi ya Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa, wamepata kura 0!, hivyo hiyo kura moko kwangu ni ushindi mkubwa!. After all, mimi ni mwana jf mwenzenu, baada ya kushindwa nilijitokeza nikawaomba nipeni pole, msinicheke, msinibeze, Uchaguzi 2020 - Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!, mbona mnaendelea kunibeza?.
P
Paskali, wewe ni real fighter.It's not fair kuendelea kunisimanga kwa kuambulia kura moja!, tulikuwa wagombea 176, waliopata angalau kura moja ni less than 30!. Kuna wagombea zaidi ya 140, miongoni mwao ni wanasiasa wakubwa hadi ngazi ya Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa, wamepata kura 0!, hivyo hiyo kura moko kwangu ni ushindi mkubwa!. After all, mimi ni mwana jf mwenzenu, baada ya kushindwa nilijitokeza nikawaomba nipeni pole, msinicheke, msinibeze, Uchaguzi 2020 - Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!, mbona mnaendelea kunibeza?.
P
Wacha kumdanganya...real fighter kwa lipi....he didnt do his groundwork vizuri.....hatukutegemea mtu kama yeye akagombee ubunge while hajafanya chochote kwa watu ama wajumbe...Paskali, wewe ni real fighter.
Bila shaka kama ungekuwa na "uwezeshaji" kwa wajumbe kura zingeongezeka kama sio "kutosha"
Itoshe kusema, siasa kwa nchi zetu hizi kuna mambo mengi sana ya kujiuliza kwanini fulani "kashinda" na nani, kashindwa; mtu kama Makongoro Nyerere ni mwanasiasa mzuri na mzoefu kuliko alieibuka kidedea mwaka jana kwenye duru za jimbo la Butiama. Makongoro kawahi kuwa Mbunge wa Arusha kwa NCCR, Mkiti CCM Mkoa wa Mara na Mbunge wa Afrika Mashariki; yet akangukia pua, sidhani aliemshinda kwa sera bora au mipango mizuri ua maendeleo. Bila shaka washindi wengi walijenga "miundombinu ya nipe nikupe".
Hongera tena Paskali, jaribu kuingia ubunge wa EALA, na ikiwezekana rejea tena 2025.
View attachment 1762944
John aligombea 1990 na mzee Kabuye na John kuangukia pua; baadae akajikusanya 1995 akatwaa jimbo, the rest is history; maana mzee kalala na watu wanagombana kumtetea.
Kwa kifupi, bado una nafasi ya kuonesha tofauti, kaka mkubwa Paskali
Praise and Worship team! Sasa Jiwe hayupo jaribu kumsifia mama Kiswahili ingawa hapendi misifa kama msukuma.Wanabodi,
Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!
Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!, na wenyewe wenyewe ndio sisi, mimi nikiwemo!. Asiyekubali kushindwa sio mshindani.
Pili despite the facts ni njia gani walizotumia kushinda, the end justifies the means, nawapongeza kwa dhati washindi wote,
Na tatu hili nilisema kwa moyo wangu, sina kinyongo chochote kushindwa, naahidi ushirikiano, na ile ahadi ya kutoa TZS Milioni 100 kwa CCM, nitaitimiza kupitia fund raising na sio kutoka mfukoni kwangu, hivyo naahidi ushirikiano wa dhati na kuendelea kuwa mwanachama mtiifu wa CCM.
Nipeni tu pole!.
Kidumu Chama cha Mapinduzi.
CCM Oye!.
Paskali
Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
Uchaguzi 2020 - Kawe kunani? Why is a hot cake? Wamejitokeza wagombea 176! What is so special ? Kuchinja watu 175 kubaki 1, is not a joke!.Je, atakuwa nani?
Uchaguzi 2020 - Wingi wa wagombea CCM ni uthibitisho kazi nzuri ya Rais Magufuli kwa taifa letu. Je, Oktoba ni kuchagua au kuthibitisha tu taratibu?
acha tukusimange, tuvumilie tu.It's not fair kuendelea kunisimanga kwa kuambulia kura moja!, tulikuwa wagombea 176, waliopata angalau kura moja ni less than 30!. Kuna wagombea zaidi ya 140, miongoni mwao ni wanasiasa wakubwa hadi ngazi ya Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa, wamepata kura.
After all, mimi ni mwana jf mwenzenu,
Mkuu smarte_r , kwanza ni vile wengi wetu tunajuana kupitia humu tuu, lakini hatujuani in reality. Pili kuna makada wa CCM wa aina 3. 1.Makada Wakareketwa, hawa ni wale wenye uchungu wa kweli na CCM ambao wanapenda CCM ishinde kwa haki.acha tukusimange, tuvumilie tu.
unajua kwanini tunakusimanga kaka?, ni kwasababu laiti kama ungeshinda katika hatua ya awali na ile ya ubunge, pengine leo hii ungekuwa kundi moja na wabunge wenzio wa ccm kuwasimanga watanzania wanaoikosoa serikali mitandaoni.
na pengine ungeshiriki kikamilifu mapendekezo ya kutunga sheria kali zaidi za kudhibiti wakosoaji.
nalisema hili kwasababu tunajua attitude ya wabunge wa ccm linapofika suala la kutetea maslahi ya chama, utu na ubinadamu vinakuwa havina umuhimu.
Kazi za mbunge ni pamoja na kutunga sheria, kuisimamia serikali na kutetea maslahi ya wananchi wake jimboni na Tanzania kwa ujumla.Wacha kumdanganya...real fighter kwa lipi....he didnt do his groundwork vizuri.....hatukutegemea mtu kama yeye akagombee ubunge while hajafanya chochote kwa watu ama wajumbe...
Pole Sana Mh. P. Bahati mbaya hata aliyepewa kishaanza kumpinga mwendazake kiaina!It's not fair kuendelea kunisimanga kwa kuambulia kura moja!, tulikuwa wagombea 176, waliopata angalau kura moja ni less than 30!. Kuna wagombea zaidi ya 140, miongoni mwao ni wanasiasa wakubwa hadi ngazi ya Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa, wamepata kura 0!, hivyo hiyo kura moko kwangu ni ushindi mkubwa!. After all, mimi ni mwana jf mwenzenu, baada ya kushindwa nilijitokeza nikawaomba nipeni pole, msinicheke, msinibeze, Uchaguzi 2020 - Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!, mbona mnaendelea kunibeza?.
P
Mkuu sky soldier , sisi wana jf ni kama ndugu watoto wa familia moja, sio poa kuendelea kumsimanga ndugu yako wa familia moja!.na wewe ulieanzisha hii maada tunajua uliambulia kura moja tu ya wajumbe mwaka 2020, huenda nawe unaandika hizi mambo kwa manufaa yako, hii nchi daaah 😂😂