tracy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2010
- 785
- 267
m sor jaman
skumanisha jaman kumsema hand sam boy wako!!!!...au ulimaanisha ana sifa km izo ?hahahahaaaaa
:A S 103:,....hzo sifa my dia,kdg kdg:biggrin1:............
m sor jaman
skumanisha jaman kumsema hand sam boy wako!!!!...au ulimaanisha ana sifa km izo ?hahahahaaaaa
:A S 103:,....hzo sifa my dia,kdg kdg:biggrin1:............
OK, let me be me.ila anasema kilichomshtua jamaa kamwambia hiyo jmosi wakutane kwake (kwa jamaa) ndio akaja kuniuliza je aende isije kuwa mshkaji anataka tu kummega na yeye hata kama anampenda hayuko tayari kumegana nae halafu yaishe yaani kama hana msimamo ni bora yaishe. So naombeni mauzoefu yenu wandugu labda kuna wengine ilishawahi kuwatokea hii na ikawaje
nategemea ushauri mzuri wapendwa na si madongo
Nimekupata DC kwa hiyo nmwambie avute vute halafu atoe eee asibanie sana c ndio
alf kweli ka DC mjibu huyu swali lake embu tudadavulie ina maana bila kuonja hauoi
OK, let me be me.
Amueleze kabisa kuwa hajavutika kwake kimapenzi peke yake, sisi wanaume tunapenda kuelezwa na wanawake ni jinsi gani wanajisikia kuhusu qualities zetu zaidi ya mapenzi. Awe muwazi iwezekanavyo........akiwa anamweliza hili, awe nae karibu, aonyeshe kutaka kuwa nae beyond kuvuana chupi.
hata kama jamaa alikuwa ana mpango wa kumega tu, atagundua huyu mwanamke sio sahihi kumfanyia hivyo, atarudi nyuma na kuanza kuangalia options zake. THAT IS THE RULE.
sasa mkuu, ipi nzuri, wakutane kiwanja, then mdada aingie line na kwenda kwa jamaa thereafter kwa ajili ya kumegana, au aende kwa jamaa then yakitokea yatokee.....yani AUTOHakuna cha kubana wala nini? Kwa nini watu wanahangaika na GM wakati organic kibao zipo? Huyo dada ana bahati sana kupata kitu organic. Wote waliitafuta nafasi, sasa Mungu kaileta. Halafu eti anaanza kuumwa kichwa. Mimi nilidhani anaomba tumsaidie jinsi ya kuzifanya siku ziende haraka ili waonane. That's what I would expect.
Haya mambo ya kumegana yanatoka wapi? Kama hayuko na amani kwenda home kwa kijana aombe wakutane away ground kwanza ili wazoeane. Ni kiasi cha kuwa makini lakini siyo defensive.
My take...aondoe kabisa obsession kwamba ohhhh atamegwa sijui nini. Aaache movie iendelee hadi mwisho atauona tu!
Hakuna cha kubana wala nini? Kwa nini watu wanahangaika na GM wakati organic kibao zipo? Huyo dada ana bahati sana kupata kitu organic. Wote waliitafuta nafasi, sasa Mungu kaileta. Halafu eti anaanza kuumwa kichwa. Mimi nilidhani anaomba tumsaidie jinsi ya kuzifanya siku ziende haraka ili waonane. That's what I would expect.
Haya mambo ya kumegana yanatoka wapi? Kama hayuko na amani kwenda home kwa kijana aombe wakutane away ground kwanza ili wazoeane. Ni kiasi cha kuwa makini lakini siyo defensive.
My take...aondoe kabisa obsession kwamba ohhhh atamegwa sijui nini. Aaache movie iendelee hadi mwisho atauona tu!
sasa mkuu, ipi nzuri, wakutane kiwanja, then mdada aingie line na kwenda kwa jamaa thereafter kwa ajili ya kumegana, au aende kwa jamaa then yakitokea yatokee.....yani AUTO
kwani DC, hata kama ni kumegwa ndo huyo mdada aogope kiivyo mbona anakuza sana haya mambo?kumegwa kwa kina dada ni kawaida sana, ni kama mgonjwa na uji tu!!mi sioni issue hapo!!!!!
Mpwa huko Swanga kuna shori kang'atwa ulimi umeona???
huyu dada namshauri asiende nyumbani kwa huyo kaka,ila amwombe tu waonane sehemu nyingine ambayo si ya faragha asije kujuta badae maana wanaume mmmmmmmmh!
Mwache aende amegwe halafu aje tena hapa atuombe tumpe ushauri
Jioni nikukute wapi?
Finest, hivi kumegwa ni adhabu au ni msiba?
1. ADHABU endapo kile kikojoleo chake kitatumikishwa
2. MSIBA endapo kikojoleo kikitumikishwa kisha kikaachwa halafu matokea yake tutaweka bango la linalosema "Parking at Owners Risk"
Na ndio maana watu walioshikia bando suala la kumegana na washangaa. Kwani huyo dada yuko under 18? au anahitaji ruhusa ya mama kwenda kumwona BF? Au akirudi home anagakaguliwa na baba na mama?
Sioni sababu. Kwa maelezo ya Maty hawa watu wanapendana sana. Wajipe nafasi ya ku-prove hilo kwanza. Mengine yoooote yatakuja kwa wakati wake!