Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Ni kweli ashaonyesha maralia ila huyo mshkaji hajashtukia wala nini, ila kwa kweli hana mpango wa kumegwa kabisa ambacho anashangaa ni kuona kwamba alikuwa anamzimikia bila jamaa kujua alafu jamaa akaja kumuomba urafiki
cjui kama nimekuelewa...wanaume wanagapi wameshamtolea mahari? kwanini wanasepa wakishatoa?.....huyu dada anajiuliza mawaswali gani yacyo na kichwa wala miguu? sasa kamzimikia mkaka, mkaka atajuaje kama anazimikiwa bila kuambiwa? au ana uwezo wa roho mtakatifu, cjui ckuelewi wewe au huyo mdada lakini sielewi elewi jambo hapa.
maty ckusomi kabisa leo....
Tatizo watu waongelea demu kumegwa badala ya kujua kuwa huko ni kumegana.
Hata mimi siwaelewi. Kama dada anaogopa kutoa nanihi yake uhusiano anataka wa nini? Mimi nilishaapa kuwa hakuna uhusiano bila dudu. Yeye aitumikie nafasi yake hata kama inamweleza kuwa akikutana naye njiani ampe hapo papo!