Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Yaani huyo kaka hajui kabisa kama huyo demu alikuwa anamzimia kwanza huwa hawaonani mara kwa mara na kuna kipindi huyo kaka alienda zake kusoma hata huyo mdada alishasahau habari zake ila ikatokea alivyorudi akaanzisha sera
sasa tatizo lipo wapi?...c huyo mdada afate moyo wake unavyosema? jamani.