Njilembera
JF-Expert Member
- May 10, 2008
- 1,496
- 607
hvi nyie akili zenu fupi mnalazimishwa kusoma hapo!!! Thats Private insititute kama unaona hawatoi kinachotakiwa basi kamlilie kikwete aongeze vyuo vkuu au kafauli usome DIT,MIST,ATC, au COeT.
Asante kwa elimu tosha! Kwa nini ufeli? Tabia ya kulalamikia Kila kitu ndio chanzo cha kubakia kwenye umaskini Tanzania. Ukimwona Mwalimu amenunua pikipiki eti ameiba fedha ya ada au ya Mradi. St Josephwameanza Juzi Juzi tu kamachuo kikuu, angalia ni degree ngapi wanatoa tayari! Huwezi ukawalinganisha na Ardhi University, jibabalililolala fufufu! Waache St Joseph walete technological change ndani ya Tz! Achawivu!