Wamasai kuweni makini Zanzibar, mmewekewa chambo mnavutwa mnavutika tu bila kujitambua

Mr mutuu

JF-Expert Member
Jan 27, 2023
2,036
10,070
Politics.

Hakuna watu wanajua ku manipulate watu kama wanasiasa, wakitaka jambo lao hua hawakurupuki waanzia mbali tu mpaka lengo lao litimie, miaka ya karibuni tumeona wingi wa wamasai kufurika Zanzibar kwenda kutafuta maisha, wameshakua wengi sana, na tuwe tu wakweli fanya yote ila Zanzibar haitaki kupoteza 'identity'(asili) yake. Ndo maana muungano wa miongo zaidi ya 6 ila bado wako 'ki vyao vyao' tu

Nimewaza sana Kuna namna Hawa watu wanatakiwa watolewe huko, zimeanza chokochoko kidogo kidogo wamasai wanawekewa 'chambo' na wao bila kujijua naona wanaingia wazima wazima.

Turejee ya loliondo, yalianza kama matani tu, eti Kina maulid kitenge wameenda kutembea mbuga za wanyama, wakaanza kurekodi jinsi wamasai wanakaa maporini ambapo hakuna huduma muhimu, mara wanaingiliana na nature, wakaanza kupost kama vile wanawaonea huruma, unafiki mtupu. Hivi serikali hii inajua fika Kuna ma elfu ya vijiji watu hawana Huduma zozote Leo hii wakajifanya kuwaonea huruma wamasai

Kumbe watu washakula 'mlungula' bana, it was a well calculated move baada ya muda tuliona Nini kilitokea.

Jana nimeona tena wamasai wanagombana na walinzi wa hoteli paje... Huku watalii wakiwa eneo la tukio, nikaunganisha dot na lile la majuzi kuchapana bakora. Nikasema hapa lazima Kuna jambo.

Hili la zanzibar sio coincidence, ni watu wamekaa wameandaa move Moja ya akili sana ya kisiasa, wamasai hawana muda mrefu Zanzibar watatolewa au wataminywa uhuru mpaka 'wateme bungo'(waamue kuondoka wenyewe)

Akufukuzae hakuambii Toka, ni swala la muda tu, nipo hapa!
 
Waishi bila sime na fimbo, inawezekana, hiki wanachofanya wamasai sasa hivi ni matumizi mabaya ya hizo silaha walizozoea kuzibeba, waache kuishi kwa mazoea, mambo ya jandoni yabaki huko kwenye jamii yao, sio kusogea nayo mijini penye mchanganyiko wa jamii tofauti, zenye hulka na tabia tofauti.

Haiwezekani uambiwe uache kutembea nazo, kisha ujibu kwa kumtandika yule anayekwambia, ukiulizwa kulikoni, useme ulichokozwa. Hizo fimbo na sime ni kama zinawapa viburi, wanajiamini kupitiliza, hawajui kuongea, wao ni kutandika tu.

Kutembea na fimbo na sime mijini ni sawa na kutugeuza sisi wengine tusio na fimbo mbuzi wao, wanatuchunga, au wanatuona kama chui, ndio maana wameamua kujilinda dhidi yetu maadui zao.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Waishi bila sime na fimbo, inawezekana, hiki wanachofanya wamasai sasa hivi ni matumizi mabaya ya hizo silaha walizozoea kuzibeba, haiwezekani uambiwe uache kutembea nazo kisha ujibu kwa kumtandika yule anayekwambia, kisha ukiulizwa kulikoni, useme ulichokozwa.
Wameyataka, aliyewaambia wakawatoe walikokuwa wanaishi ni nani, hivi unakwenda kumtoa simba hifadhini unamleta mjini halafu unamtaka aishi tofauti na utaratibu wake
 
Waishi bila sime na fimbo, inawezekana, hiki wanachofanya wamasai sasa hivi ni matumizi mabaya ya hizo silaha walizozoea kuzibeba, waache kuishi kwa mazoea, mambo ya jandoni yabaki huko kwenye jamii yao, sio kusogea nayo mijini penye mchanganyiko wa jamii tofauti, zenye hulka na tabia tofauti.

Haiwezekani uambiwe uache kutembea nazo, kisha ujibu kwa kumtandika yule anayekwambia, ukiulizwa kulikoni, useme ulichokozwa. Hizo fimbo na sime ni kama zinawapa viburi, wanajiamini kupitiliza, hawajui kuongea, wao ni kutandika tu.

Kutembea na fimbo na sime mijini ni sawa na kutugeuza sisi wengine tusio na fimbo mbuzi wao, wanatuchunga, au wanatuona kama chui, ndio maana wameamua kujilinda dhidi yetu maadui zao.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hujanielewa... This is a well calculated move, hizo sime na rungu ndo Leo wameziona?
 
Politics....

Hakuna watu wanajua ku manipulate watu kama wanasiasa, wakitaka jambo lao hua hawakurupuki waanzia mbali tu mpaka lengo lao litimie, miaka ya karibuni tumeona wingi wa wamasai kufurika Zanzibar kwenda kutafuta maisha, wameshakua wengi sana, na tuwe tu wakweli fanya yote ila Zanzibar haitaki kupoteza 'identity'(asili) yake... Ndo maana muungano wa miongo zaidi ya 6 ila bado wako 'ki vyao vyao' tu

Nimewaza sana Kuna namna Hawa watu wanatakiwa watolewe huko, zimeanza chokochoko kidogo kidogo wamasai wanawekewa 'chambo' na wao bila kujijua naona wanaingia wazima wazima....

Turejee ya loliondo, yalianza kama matani tu, eti Kina maulid kitenge wameenda kutembea mbuga za wanyama, wakaanza kurekodi jinsi wamasai wanakaa maporini ambapo hakuna huduma muhimu, mara wanaingiliana na nature, wakaanza kupost kama vile wanawaonea huruma, unafiki mtupu... Hivi serikali hii inajua fika Kuna ma elfu ya vijiji watu hawana Huduma zozote Leo hii wakajifanya kuwaonea huruma wamasai

Kumbe watu washakula 'mlungula' bana, it was a well calculated move baada ya muda tuliona Nini kilitokea....

Jana nimeona tena wamasai wanagombana na walinzi wa hoteli paje... Huku watalii wakiwa eneo la tukio, nikaunganisha dot na lile la majuzi kuchapana bakora.... Nikasema hapa lazima Kuna jambo

Hili la zanzibar sio coincidence, ni watu wamekaa wameandaa move Moja ya akili sana ya kisiasa, wamasai hawana muda mrefu Zanzibar watatolewa au wataminywa uhuru mpaka 'wateme bungo'(waamue kuondoka wenyewe....)

Akufukuzae hakuambii Toka, ni swala la muda tu, nipo hapa!!!
Na kweli wasipoangalia hii chambo watajikuta Msomera na wenzao wa Ngorongoro
 
Wameyataka, aliyewaambia wakawatoe walikokuwa wanaishi ni nani, hivi unakwenda kumtoa simba hifadhini unamleta mjini halafu unamtaka aishi tofauti na utaratibu wake
Wamasai wa ngorongoro ni wasomi,wafanyabishara kubwa za dola na kuna NGOs nyingi kuliko mkoa wa arusha hawana dhiki....hao waliojazana dar na znz ni wamasai wa chalinze,mkata,kilindi yani wamasai toleo la mwisho
 
Waishi bila sime na fimbo, inawezekana, hiki wanachofanya wamasai sasa hivi ni matumizi mabaya ya hizo silaha walizozoea kuzibeba, waache kuishi kwa mazoea, mambo ya jandoni yabaki huko kwenye jamii yao, sio kusogea nayo mijini penye mchanganyiko wa jamii tofauti, zenye hulka na tabia tofauti.

Haiwezekani uambiwe uache kutembea nazo, kisha ujibu kwa kumtandika yule anayekwambia, ukiulizwa kulikoni, useme ulichokozwa. Hizo fimbo na sime ni kama zinawapa viburi, wanajiamini kupitiliza, hawajui kuongea, wao ni kutandika tu.

Kutembea na fimbo na sime mijini ni sawa na kutugeuza sisi wengine tusio na fimbo mbuzi wao, wanatuchunga, au wanatuona kama chui, ndio maana wameamua kujilinda dhidi yetu maadui zao.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Mmasai na silaha zake hadhuru mtu. Zipo kwa ajili ya kujilinda na si kupiga mtu. Hao wanautumwa kuwachokoza maasai ndiyo wabaya.
 
Mmasai na silaha zake hadhuru mtu. Zipo kwa ajili ya kujilinda na si kupiga mtu. Hao wanautumwa kuwachokoza maasai ndiyo wabaya.
Wamasai wanawatomba hao wazungu hilo ndio bifu na mabaunsa wa huko chanzo ni hicho hakuna kingine Wamasai hawaibi Ila hao wazungu unaowaona kwenye clip wanatombwa na Wamasai sasa Walinzi wanawazuia wasiingie hayo maeneo kirahisirahisi sababu wanajilengesha kwa wazungu ili wawatombe

Km hujaelewa endelea kutumbua macho
 
Tamaduni za kuja harusini na jambia nazo sasa hatarini kupigwa marufuku

1707315857236.png
 
Politics.

Hakuna watu wanajua ku manipulate watu kama wanasiasa, wakitaka jambo lao hua hawakurupuki waanzia mbali tu mpaka lengo lao litimie, miaka ya karibuni tumeona wingi wa wamasai kufurika Zanzibar kwenda kutafuta maisha, wameshakua wengi sana, na tuwe tu wakweli fanya yote ila Zanzibar haitaki kupoteza 'identity'(asili) yake. Ndo maana muungano wa miongo zaidi ya 6 ila bado wako 'ki vyao vyao' tu

Nimewaza sana Kuna namna Hawa watu wanatakiwa watolewe huko, zimeanza chokochoko kidogo kidogo wamasai wanawekewa 'chambo' na wao bila kujijua naona wanaingia wazima wazima.

Turejee ya loliondo, yalianza kama matani tu, eti Kina maulid kitenge wameenda kutembea mbuga za wanyama, wakaanza kurekodi jinsi wamasai wanakaa maporini ambapo hakuna huduma muhimu, mara wanaingiliana na nature, wakaanza kupost kama vile wanawaonea huruma, unafiki mtupu. Hivi serikali hii inajua fika Kuna ma elfu ya vijiji watu hawana Huduma zozote Leo hii wakajifanya kuwaonea huruma wamasai

Kumbe watu washakula 'mlungula' bana, it was a well calculated move baada ya muda tuliona Nini kilitokea.

Jana nimeona tena wamasai wanagombana na walinzi wa hoteli paje... Huku watalii wakiwa eneo la tukio, nikaunganisha dot na lile la majuzi kuchapana bakora. Nikasema hapa lazima Kuna jambo.

Hili la zanzibar sio coincidence, ni watu wamekaa wameandaa move Moja ya akili sana ya kisiasa, wamasai hawana muda mrefu Zanzibar watatolewa au wataminywa uhuru mpaka 'wateme bungo'(waamue kuondoka wenyewe)

Akufukuzae hakuambii Toka, ni swala la muda tu, nipo hapa!
Suala la masai znz halina siasa yoyote mkuu hawa jamaa wamekuwa wengi kweli lakini wamekosa kabisa ustaarabu, akishakamata shanga zake mbili tattu mkononi wanasumbua sana wageni, hawajali faragha za wageni kabisa, compain za wageni kubughudhiwa na masai mahoteli ni nyingi sana. Wmepewa uhuru wa kutosha sana kufanya biashara beach lakini wameshindwa kuutumia na sasa wanavuka mipaka.

Mgeni anapolalamika kuhusu masai, wanakabidhiwa jukumu la kuhahkikisha wageni hawasumbuliwi ni walinzi, mlinzi anapofuata masai na kumweleza kuhusu kuwasumbua wageni masai haelewi hapo ndo shida inapoanzia.

Mlinzi anajukumu la kuhakisha a safe stay kwa wageni wa hoteli, mgeni anapolalalmika manake mlinzi hatajitimiza wajibu wake, tafsiri yake ni kwamba kibarua chake kiko hatarini. Hawezi kukaa kinyonge.

Wamesai wanajichanganya wenyewe kila wakiambiwa kitu utasikia beach ni public, hili ni suala la muda tu, watakaolianzisha ni investors na si serikali na serikali lazima itafuata matakwa investors.
 
Suala la masai znz halina siasa yoyote mkuu hawa jamaa wamekuwa wengi kweli lakini wamekosa kabisa ustaarabu, akishakamata shanga zake mbili tattu mkononi wanasumbua sana wageni, hawajali faragha za wageni kabisa, compain za wageni kubughudhiwa na masai mahoteli ni nyingi sana. Wmepewa uhuru wa kutosha sana kufanya biashara beach lakini wameshindwa kuutumia na sasa wanavuka mipaka.

Mgeni anapolalamika kuhusu masai, wanakabidhiwa jukumu la kuhahkikisha wageni hawasumbuliwi ni walinzi, mlinzi anapofuata masai na kumweleza kuhusu kuwasumbua wageni masai haelewi hapo ndo shida inapoanzia.

Mlinzi anajukumu la kuhakisha a safe stay kwa wageni wa hoteli, mgeni anapolalalmika manake mlinzi hatajitimiza wajibu wake, tafsiri yake ni kwamba kibarua chake kiko hatarini. Hawezi kukaa kinyonge.

Wamesai wanajichanganya wenyewe kila wakiambiwa kitu utasikia beach ni public, hili ni suala la muda tu, watakaolianzisha ni investors na si serikali na serikali lazima itafuata matakwa investors.
Ndo maana nimewapa tahadhari wakae mkao wa kunyolewa, nadhani maamuzi yameshapagwa hizi ni chokochoko tu tunaona kuhalalisha maamuzi
 
Hicho chambo wanajichambia wenyewe..

Kuna makosa wanafanya yapo wazi kabisa..ni.kwamba siku hizi wamejaa hoteli za kitalii kutafuta wanawake wa kizungu hii ipo wazi..ujinga wao sasa ni pale wanapo ingilia kanuni za wenye hoteli..wageni wamepumzika wao wanapita pita kuwasumbua, kuwaamsha wawatongoze ! Nani anataka kufukuziwa wateja kutokana na usumbufu wao! ..biashara ya utalii ina standard zake ,wao wanavamia tena kwa nguvu. ..kwa nini wasiwangojee wageni wanapokuwa beach matembezini?

Na kuuza vitu mkononi bila duka watu wote wamekatazwa .. kwa vile wanakuwa hawalipi kodi ,wafungue sehemu wauze..wao hawataki..sasa waachiwe kwani wao ni nani?

Kuna watu wengi ..sana na makabila tofauti mpaka nchi jirani wanafanya biashara miaka mingi tu n hawaguswi kwa vile wanafata kanuni na sheria za znz!...

Tatizo jamaa zetu ustaarab .. kipengele.. .. lakini wataelewa somo tu taratibu maana wengine huwa sio wamasai ila wanavaa nguo za kimasai!

Mmasai aache ng"ombe kwa mshahara wa kuolewa na mzungu?
 
Back
Top Bottom