Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,784
- 5,285
Kama lilipitishwa hili haki haijatendeka kabisa,Kwakua sheria ilipitishwa(01 July 2012,Kama ni kweli),inabidi michango yangu ya June kurudi nyuma niipate yote otherwise CCM itakua imejiondoa madarakani smoothly,Wabunge wa Chadema tunaomba ufafanuzi kutoka kwenu ni kweli mlilipitisha hili? Kama CCM ndio waliopitisha kwakua wapo wengi,Tunaomba 2015 Tuwaingize IKULU kwa Sharti la kuifuta hii sheria,tunawahakikishia tutawapa wabunge wa kutosha!!