DOMINGO THOMAS
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 237
- 218
Hapa watumishi wengi watajua/wanajua wanachukua pesa walizo wekeza kwenye mfuko ( michango yao ya kwenye mfuko ) kitu ambacho sio sahihi.
Mifuko ilicho kifanya (Sheria mpya inavyo sema) michango yako iliyopo NSSF/PSSSF inatumika/itatumika kama dhamana ya mkopo, yani ukishindwa kulipa uo mkopo unao chukua bank mafao yako (michango yako) ndio itakuwa dhamana ya kulipa hilo deni (Mkopo). Na sio mfuko kutoa Mikopo kwa wanachama wake.
Kwa maana hiyo rejesho la lile deni (mkopo) ambao mtumishi ameuchukua bank, ambao dhamana yake ni michango yake iliyo kuwepo NSSF/PSSSF, haita katwa kwenye michango yake ambayo ipo kwenye mfuko NSSF/PSSSF bali itakatwa kwenye mshaara wake. Michango yake ipo kama dhamana tu, hii ni sawa kuwekea nyumba, gari au kiwanja dhamana ambapo ukishindwa kulipa deni dhamana yako ndio itachukuliwa.
Watumishi wakumbuke, Kazi ya mifuko ya hifadhi ya jamii sio kutoa mikopo. Lengo mama la mifuko ya hifadhi ya jamii ni kutuoa mafao. Mikopo ni kazi ya Financial institutions kama Mabank etc.
Naomba kuwasilisha.
Mifuko ilicho kifanya (Sheria mpya inavyo sema) michango yako iliyopo NSSF/PSSSF inatumika/itatumika kama dhamana ya mkopo, yani ukishindwa kulipa uo mkopo unao chukua bank mafao yako (michango yako) ndio itakuwa dhamana ya kulipa hilo deni (Mkopo). Na sio mfuko kutoa Mikopo kwa wanachama wake.
Kwa maana hiyo rejesho la lile deni (mkopo) ambao mtumishi ameuchukua bank, ambao dhamana yake ni michango yake iliyo kuwepo NSSF/PSSSF, haita katwa kwenye michango yake ambayo ipo kwenye mfuko NSSF/PSSSF bali itakatwa kwenye mshaara wake. Michango yake ipo kama dhamana tu, hii ni sawa kuwekea nyumba, gari au kiwanja dhamana ambapo ukishindwa kulipa deni dhamana yako ndio itachukuliwa.
Watumishi wakumbuke, Kazi ya mifuko ya hifadhi ya jamii sio kutoa mikopo. Lengo mama la mifuko ya hifadhi ya jamii ni kutuoa mafao. Mikopo ni kazi ya Financial institutions kama Mabank etc.
Naomba kuwasilisha.