Waliofahamika kupitia migongo ya mastaa..

warumi kwa heshma na taadhima naomba kukuomba uwe unanitag thread zako jukwaa hili
make napitwa na mambo mengi haki a mama....
Dinazarde naomba uwe unaniita huyu binamu yangu akileta ma breking nyuz
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu wengine wanafahamika na watoto wa mujini tu, yani sio rahisi wauza vitumbua na wamama wa tandale kuwafahamu, kwa mfano shamim mwasha anafahamika na watoto wale mujini tu , nadhan hao wote niliowataj wako hvyo, ila baada ya kuwa close na wale celebrities wa kibongo majina yao yamekuwa zaidi na kuwa maarufu

Shamim Mwasha wa iliyokuwa Inforcom...!!! Aki design Darhortwire?????

Rest in Peace Mzee Kimambi & David Balali I real miss you....!!!!
 
Kweli wewe wa mbezi beach mkuu.

Kweli Mkuu ...!!! Siku hizi hatuishii tena Belinda...Zero.. Na Giraffe ni mpaka Patamu..Budget..Kibo..Hisaje..Oceanic...!!! Hao wazee walikuwa vichwa sana..na waku party Sijawahi kaa tena Decca na Triz....,,!!!
 
Kweli Mkuu ...!!! Siku hizi hatuishii tena Belinda...Zero.. Na Giraffe ni mpaka Patamu..Budget..Kibo..Hisaje..Oceanic...!!! Hao wazee walikuwa vichwa sana..na waku party Sijawahi kaa tena Decca na Triz....,,!!!
Hisaje ni shidaaa...
 
Kweli wewe wa mbezi beach mkuu.

Mbezi Beach siku hizi wamekuchafua kumekuwa kama uswahilini.

Nimerudi napitishwa Bagamoyo Road it took me several minutes kuitambua, pembeni vibanda vibanda kibaaao.

Siyo enzi zile pale Tangi Bovu unaliona tangi lile pale lina kutu, hapa chini ya Tangi kuna shamba la bibi.
 
Mbezi Beach siku hizi wamekuchafua kumekuwa kama uswahilini.

Nimerudi napitishwa Bagamoyo Road it took me several minutes kuitambua, pembeni vibanda vibanda kibaaao.

Siyo enzi zile pale Tangi Bovu unaliona tangi lile pale lina kutu, hapa chini ya Tangu kuna shamba la bibi.

Ukiongelea mbezi beach may be mitaa ya kule chini karibia na maghorofa ya BOT, kule ni shidaa uko juu mi napaona pa kawaida tuu
 
Ukiongelea mbezi beach may mitaa ya kule karibia na maghorofa ya BOT, kule ni shidaa uko juu mi napaona pa kawaida tuu

Mitaa ya Esacs, kwa Sykes na kwa Mataka huku?

Kule nilikuwa sijapata muda wa kupitia sana, lakini nilienda kusalimia cousins and uncles kuna watu wamepiga vitu kama uko South au hata Miami.

Huku barabarani wamepaharibu sana, nimesononeka that side of Mbezi Beach is going to the dogs. Vipi barabara mpya inaendeleaje? Labda ikikamilika vibandavibanda mshenzi vitabomolewa.
 
chochote atakachokiandika Kiranga humu hutakiwi kuonesha dalili ya kukipinga.

Kiranga mwenyewe anajipinga katika Hegelian dialectics.

Ukianza kwa kutaka kutompinga Kiranga, ushampinga, kwa sababu Kiranga ni muumini wa kupingana, hata kama ni kupingana bila kupigana.

Chuoni kwenye somo la falsafa nilikuwa nampinga sana mwalimu wangu, I mean nilikuwa nampinga mpaka nooma, mpaka kuna demu mmoja akaniita na kuniuliza unavyompinga unampinga kwa ligi tu au unamaanisha kweli?

Nikasema namaanisha kweli ( ilikuwa mostly mambo ya atheism na kupinga dominance ya western culture, I mean unaingia darasani siku ya kwanza unapewa scope ya darasa unaanza kui criticize scope ya darasa na syllabus). Basi kwa fikra za kibongobongo wakati huo ndo naanza chuo mtoni, nikafikiri professor atanifelisha.

Siku mbili kabla ya mtihani wa semester professor kanitumia email ananiambia nisije kufanya mtihani, nikamuuliza imekuwaje (nikaanza kufikiri niliyotabiri yanatokea, anataka kunifuta kwenye darasa lake nini?).

Mnyamwezi akaniambia wewe ma argument yako yamo kwenye syllabus za graduate level (wakati huo nipo undergrad) . Class participation na coursework zishakupa A+ hivyo huhitaji kuja kufanya mtihani wa mwisho.

Nikaona duh, mnyamwezi mwisho. Yaani anathamini dissenting views kiasi kwamba ingawa hatukubaliani kimaoni ( yeye alikuwa a conservative judge, a Bushite from upstate NY, mimi nilikuwa a left leaning atheist from a country he couldn't pronounce), lakini ali value arguments zangu na kuzikubali enough kunipa A+, bila ya kufanya mtihani wa mwisho.

Kwa hiyo, to the contrary, mimi nathamini mjadala. Nimekaa na watu wanathamini mjadala na kupingana. I subscribe to the Wall St Journal even as I am leaning left, if only just to keep tabs on the empire.

As long as mjadala wa kupingana haujajaa ujinga sina tatizo tukipingana.
 
Mitaa ya Esacs, kwa Sykes na kwa Mataka huku?

Kule nilikuwa sijapata muda wa kupitia sana, lakini nilienda kusalimia cousins and uncles kuna watu wamepiga vitu kama uko South au hata Miami.

Huku barabarani wamepaharibu sana, nimesononeka that side of Mbezi Beach is going to the dogs. Vipi barabara mpya inaendeleaje? Labda ikikamilika vibandavibanda mshenzi vitabomolewa.

mmh hizo barabara za juu kuisha Sijui mwaka gani, kwanza sipitagi labda nipande daladala, ila juzi nimepita pale bondeni kawe naona wanakaribia kumaliza ila foleni sasa , na kule njia panda ya tegeta mambo si mabaya naona baba Liz anakarabat barabara ya Om, wakazi wa mbezi,tegeta,Boko,bunju na bagamoyo wapo juu yani lami hadi posta , ndo maana magari yao mengi bado mapya.
 
mmh hizo barabara za juu kuisha Sijui mwaka gani, kwanza sipitagi labda nipande daladala, ila juzi nimepita pale bondeni kawe naona wanakaribia kumaliza ila foleni sasa , na kule njia panda ya tegeta mambo si mabaya naona baba Liz anakarabat barabara ya Om, wakazi wa mbezi,tegeta,Boko,bunju na bagamoyo wapo juu yani lami hadi posta , ndo maana magari yao mengi bado mapya.

Kwa hiyo wanapitia hii barabara ya karibu na beach huku kwenye roundabout pale siyo? Wanakwepa Tangi Bovu right?

Nimepitishwa huko nikasema Mbezi siku hizi wana an alternate route hawajachacha.
 
Mbezi Beach siku hizi wamekuchafua kumekuwa kama uswahilini.

Nimerudi napitishwa Bagamoyo Road it took me several minutes kuitambua, pembeni vibanda vibanda kibaaao.

Siyo enzi zile pale Tangi Bovu unaliona tangi lile pale lina kutu, hapa chini ya Tangu kuna shamba la bibi.

Ni kweli Mkuu mbezi beach ya juu ni uswahilini mbaya Hata mivumoni Ina happen kuliko...Maneno ya mbezi ni chini..!!! Unajua huku juu kunaharibiwa sana na Policy za mamlaka... Kila mtu kwa sababu plot yake Ina face main road anataka aweke frame za Biashara...!!! Nachukia sana nikipita mitaa ya Marangu au China Town....!!!
 
Kwa hiyo wanapitia hii barabara ya karibu na beach huku kwenye roundabout pale siyo? Wanakwepa Tangi Bovu right?

Nimepitishwa huko nikasema Mbezi siku hizi wana an alternate route hawajachacha.

Chini na kwenyewe ni Nouma, mi napitaga kule kwa liyumba yani hlo boda noma wachache sana wanapajua unakuja kutokea njia ya kuelekea bahar beach kule juu karibia na ledger plaza, chini siku izi hadi daladala zinapita.
 
Chini na kwenyewe ni Nouma, mi napitaga kule kwa liyumba yani hlo boda noma wachache sana wanapajua unakuja kutokea njia ya kuelekea bahar beach kule juu karibia na ledger plaza, chini siku izi hadi daladala zinapita.

Duh, noma.
 
Vipi barabara mpya inaendeleaje? Labda ikikamilika vibandavibanda mshenzi vitabomolewa.

Hiyo barabara haiishi leo wala kesho. Stretch ya vi maili vichache tu inachukua zaidi ya miaka mitatu. Wanakera sana hao watu.
 
Kwa hiyo wanapitia hii barabara ya karibu na beach huku kwenye roundabout pale siyo? Wanakwepa Tangi Bovu right?

Nimepitishwa huko nikasema Mbezi siku hizi wana an alternate route hawajachacha.

Unazungumzia Old Bagamoyo road?
 
Hiyo barabara haiishi leo wala kesho. Stretch ya vi maili vichache tu inachukua zaidi ya miaka mitatu. Wanakera sana hao watu.

Ukipata mchumi wa ukweli akupigie mahesabu ya lost productivity, lost fuel, lost time etc na kukupa impact kwenye pato la taifa hapo unaweza kulia.
 
Unazungumzia Old Bagamoyo road?

Kuna kimchepuko kama unatoka Tegeta, badala ya kupitia Tangi bovu, unakunja kona barabara ya kwenda Africana unaenda upande wa baharini, mpaka mbele kwenye roundabout, unakuja kuunganisha mpaka unatokea Old Bagamoyo Road bila ya kupitia bonde la Tangi Bovu. Barabara hii imekuwa popular sana kuepuka foleni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom