Jemsi
Senior Member
- Mar 22, 2012
- 149
- 19
Je ndio mimi pekee jina halionekani web ya chuo?je nifanyaje ndugu zangu?
Nimeangalia web yao nikakuta waliopangwa kwenye facult niliyopangiwa na TCU ni 17,lakin awali guide book inaonyesha watu 100 ndio wanatakiwa kwenye hiyo facult. Nisaidieni jamani,9c day all
Nimeangalia web yao nikakuta waliopangwa kwenye facult niliyopangiwa na TCU ni 17,lakin awali guide book inaonyesha watu 100 ndio wanatakiwa kwenye hiyo facult. Nisaidieni jamani,9c day all