Ntaluke.N.
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 1,340
- 552
Samahani wakuu nimetembelea kijiji kimoja hapa Tabora yaani nimekutana na vijana wenzangu hawajui kama wamechaguliwa au hapana..naomba mnisaidie hapa S3679 kama kuna mtu kachaguliwa S3679
Hapo unalipa kwa semister yaani jero(500) mara miezi minne, ukipiga mahesabu ndio utajua sh..ngap inahtajika kwa semister 1? na zipo semister 2 zenye miez minne kila moja.Hostel ni shilingi ngap kwa mwaka
NDUGU NTALUKE.N WALIOCHAGULIWA s3679/0019 MARCO WALES,MADAHA SECONDARY,ORDINARY DIPLOMA IN SECONDARY EDUCATION {CHEMISTRY/BIOLOGY}
asante sana Ndugu yangu,lakini tatizo la pili ni kwamba itakuwaje kuhusu application za mkopo maana muda umeisha.
Za humu jaman naomba mniangalizie namba s.2852/0022. Kama kapangwa udom plz.
Mm naomba niangakzie 0355/0193
kuna mda specila ambao wanatoa tena nafasi kwa wale ambao hawakuomba hii ni special diploma tu ya waliochaguliwa be cool kijana.....
kuomba diploma udom wanaomba lini? kupitia tcu au nacte?
Baadhi watafundisha secondary na wengine primary.hivi hawa form four wanaoletwa udom moja kwa moja kusoma special diploma ya education watafundisha secondary au msingi?