Hongeren na karbun Udom
Home of intellectual, mi nataka Frnd mmoja mjanja lakn sio mbaya tukiishi kama kk pale chuo ( wa kiume lakn) mjanja sio wa kisasa ki vile na wala sio wa kienyeji
vp kuna aliyepata mkopo? na vp kwa wale ambao hawakuomba watafikiriwa??
vp kuna aliyepata mkopo? na vp kwa wale ambao hawakuomba watafikiriwa??
Hali ya chuo ipo vipi hapo
karibuni vijana... mwenye swali lolote ani pm,,, nipo second year phy/chem...
kaka vp huko maendeleo ya masomo nadhani mnaendelea vzr ndugu.. ,, samahani nami n mmoja wa kijana niliyepata nafasi ya kuchaguliwa kuja udom kwa hii special koz kwa chem/maths but tatizo langu n kwamba nilikosa ada ya kwenda kumalizia skul nilikonalizia so hadi nw cjafika huko udom na ikiwa tayar wamesha ripot ss ndugu nilikuwa nakuomba kam utaweza kunipatia mawasiliano ya huko kuhusu special diploma yetu hata nijue kama bado nafadi yangu ipo au ndo huvyo basi...,, nakuomba ndugu kwa yeyote atakaeona anisaidie jaman nami pia nataman sna kuja huko niendeleee na mm kwenye koz hiyo but kam nilivyosema apo awali kuwa ckul niliyotoka wazuia cheti changu koz nadaia ada bado.....,, so please namiomba mnisaidie hata mnipatie namba za simu ili niwasiliane nao ili nijue kama itawezekana nije hata mwakani nami niendelee na kozi ....
0768940685.. hizo n namba zangu wapendwa twaweza wasiliana ili muweze nisaidia wapendwa
Mzee wa shamba ukalimetafuta shamba ukalime ndg shadrack tangulia