Waliochaguliwa kujiunga na Stashahada ya Elimu 2015/2016-UDOM

Mkuu naomba unisaidie kwa sisi tuliochaguliwa kwenda udom tuliomaliza form 4 mwaka jana tunapataje mkopo
 
wakubwa kuhusu mikopo inakuwaje? hostel ? na joining instr tunaipataje???? naombeni msaada kwa anaye fahamu anichek 0715547842
 
Jmn naomben uliza kwan ukisoma hii dplm y edctn ktk hayoo masomo y saync digrii huwez soma coz nyngn?......msaada wakuu
 
jaman naombeni msaada eti joining instruction za udom tunaenda kuchukua shulen tulip maliza mwaka Jana au tunazipata wap ndugu zangu
 
Kuhusu boom ni unatuma maombi
Af khs join walisema in4mation zote wataweka kweny web ya chuo
 
Maombi una2ma kvp yaan cjakuelewa vzur au hiyo boom unaomba kupitia heslb au cc tutapewa 2
 
Samahani ndugu yangu nakuomba unieleweshe vzur kuhusu hiyo boom na kuhusu mkopo n kwa ajil ya walioappy au cc 2liochaguliwa programe maalamu
 
kwa wale walio udom mda mref nna maswali kidogo naombeni mnisaidie 1 mikopo tunatakiwa kuomba au tutapatiwa 2 form za kujiunga zinapatikana wap 3 mahitaji muhimu wakat wa masomo ni yap 4 naomba unielezee kuhusu boom 5 mkopo unasaidia nin au ukipewa unasaidia kulipia hela ya hostel au 6 hela ya boom wanasema tunapewa kila baada ya miez minne hii c tunapewa watu wrote bila ya kuomba
 
Back
Top Bottom