Walinzi holela (jadi) Ni hatari kiusalama

Michewen

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
24,565
32,214
1. Ndugu zetu wafugaji wamejipambanua kwa kazi za ULINZI, USUSI na kuuza dawa asili Sasa kuwaajiri hawa rafiki zetu bila mkataba Wala.mafunzo Ni mtihani na hatari Kwa usalama wako. Anaweza kukutaka kichwa bila kuuliza yeyote.

2. Zaidi, wapo wanaojihusisha mapenzi ya Jinsia moja bila kinga wala tahadhari kwa ujira kidogo wa 100 USD. Hapa Chukwani wanaranda randa ufukweni kuwinda na wamepanga ghetto wakisubiri wazungu tu. He, tunaelekea wapi kama taifa?
 
1. Ndugu zetu wafugaji wamejipambanua kwa kazi za ULINZI, USUSI na kuuza dawa asili Sasa kuwaajiri hawa rafiki zetu bila mkataba Wala.mafunzo Ni mtihani na hatari Kwa usalama wako. Anaweza kukutaka kichwa bila kuuliza yeyote.

2. Zaidi wapo wanaojihusisha mapenzi ya Jinsia moja bila kinga Wala tahadhari kwa ujira kidogo Sana. Chukwani wamepanga ghetto wakisubiri wazungu tu
Nakubaliana na wewe, binafsi waliniibia nikiwa safari, wakavunja mlango wa ndani wakahama na vyote kama vyao....
 
Ila hawa wazungu especially waitalia ni konyo na ndio wamejaa zenji,,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom