1. Ndugu zetu wafugaji wamejipambanua kwa kazi za ULINZI, USUSI na kuuza dawa asili Sasa kuwaajiri hawa rafiki zetu bila mkataba Wala.mafunzo Ni mtihani na hatari Kwa usalama wako. Anaweza kukutaka kichwa bila kuuliza yeyote.
2. Zaidi, wapo wanaojihusisha mapenzi ya Jinsia moja bila kinga wala tahadhari kwa ujira kidogo wa 100 USD. Hapa Chukwani wanaranda randa ufukweni kuwinda na wamepanga ghetto wakisubiri wazungu tu. He, tunaelekea wapi kama taifa?
2. Zaidi, wapo wanaojihusisha mapenzi ya Jinsia moja bila kinga wala tahadhari kwa ujira kidogo wa 100 USD. Hapa Chukwani wanaranda randa ufukweni kuwinda na wamepanga ghetto wakisubiri wazungu tu. He, tunaelekea wapi kama taifa?