Natafuta mwalimu wa kubadilishana nae idara ya secondari kuja SIKONGE TABORA mi niende MOROGORO NA TANGA wilaya yoyote hile
0788240512/0718888730
njoo mbinga ruvuma nije kokote
Idara gani mkuu?
msingi/sekondari.
Idara gani mkuu?
msingi/sekondari.
Siku nitakayofika huko site nishapanga kuwa nitavaa hivi,,, kwani nguo zingine tayari nishazipanga kwenye bag langu.