Walimu wapewa Vishikwambi kwa kubaguliwa

njwanjwanjwa

Member
Jul 28, 2022
8
11
Baada ya zoezi la sensa na makazi kumalizika, Serikali ilitangaza nia njema ya kugawa vishikwambi vilivyokuwa vinatumika katika zoezi hilo kwa kila mwalimu wa shule ya Serikali wa shule ya msingi, sekondari na vyuoni hapa nchini.

Zoezi Hilo limeshaanza kutekelezwa ila likiwa na sura nyingine tofauti na vile Serikali ilivyokusudia. Sasa walimu hawajapata wote katika ma shule Bali vishikwambi hivo vimegawiwa kwa kuangalia vipaumbele: kwamba kwenye shule walimu wanapewa Kalingana na levo za madaraka : mkuu wa shule, second master, academic, displine, walimu wakuu wa idara za masomo na walimu wa madarasa. Walimu wengine ambao hawana vyeo hawapati chochote Labda tu kama vimebaki.

Kwa mfano kuna shule imepata vishikwambi sita (06) na wakati shule hiyo ina walimu 33. Shule nyingine imepata vishikwambi 26 na wakati ina walimu 41. Kuna shule imepata vushikwambi 29 na wakati ina walimu 36. Vile vile kuna shule fulani imepata vishikwambi Sawa na idadi y’a walimu waliopo shuleni hiyo.

Ugaaaji wa hivi vishikwambi umezua sintofahamu kubwa kwenye taasisi ya Elimu na kuacha minong’ono mingi.
 
Baada ya zoezi la sensa na makazi kumalizika, Serikali ilitangaza nia njema ya kugawa vishikwambi vilivyokuwa vinatumika katika zoezi hilo kwa kila mwalimu wa shule ya Serikali wa shule ya msingi, sekondari na vyuoni hapa nchini.

Zoezi Hilo limeshaanza kutekelezwa ila likiwa na sura nyingine tofauti na vile Serikali ilivyokusudia. Sasa walimu hawajapata wote katika ma shule Bali vishikwambi hivo vimegawiwa kwa kuangalia vipaumbele: kwamba kwenye shule walimu wanapewa Kalingana na levo za madaraka : mkuu wa shule, second master, academic, displine, walimu wakuu wa idara za masomo na walimu wa madarasa. Walimu wengine ambao hawana vyeo hawapati chochote Labda tu kama vimebaki.

Kwa mfano kuna shule imepata vishikwambi sita (06) na wakati shule hiyo ina walimu 33. Shule nyingine imepata vishikwambi 26 na wakati ina walimu 41. Kuna shule imepata vushikwambi 29 na wakati ina walimu 36. Vile vile kuna shule fulani imepata vishikwambi Sawa na idadi y’a walimu waliopo shuleni hiyo.

Ugaaaji wa hivi vishikwambi umezua sintofahamu kubwa kwenye taasisi ya Elimu na kuacha minong’ono mingi.
mimi hata sihitaji sim inanitosha,isije kuwa kusimangwa kila siku kisa kishkwambi
 
Ticha, nunua infinix yako.

Vinginevyo andaa 1,500,000 ukanunue uhedimasta. Zinarudi miezi 6 tu. Kula kulingana na kamba inapoishia.
 
Hivyo sio kwa ajili ya kila mwalimu

Tena shukuru Mungu kama hujapewa

Ofisi nyingi tu za umma ukipewa kishikwambi kinatakiwa kuwa hewani masaa 24 muda wowote unatakiwa kuwa hewani boss akikutafuta upatikane ukizima usipatikane kesho au keshokutwa unashushwa cheo

Mfano Raisi,mkuu kapata lalamiko kwa mwananchi linakuhusu au anataka kukuteua nafasi kubwa kishikwambi akijua unacho anakupigia muda wowote hata usiku wa manane


Ukikipata ujue ni kitendea kazi kinatakiwa kuwa hewani hata ulazwe au uko ofisini au msibani

Wenyewe wanakupa sio uchezee game tu kuna majukumu usije piga yowe kuwa inakuwaje mwalimu mkuu anakupigia simu usiku wa manane kukuuliza swali la kazi za kiofisi ukiwa unakumbatiana na mtu wako
 
Sasa kama mwalimu ana smartphone na alikuwa hatumii kurahisisha kazi yake sidhani kama hicho kishkwambi kitabadilisha kitu sana sana ni show off tu
 
Baada ya zoezi la sensa na makazi kumalizika, Serikali ilitangaza nia njema ya kugawa vishikwambi vilivyokuwa vinatumika katika zoezi hilo kwa kila mwalimu wa shule ya Serikali wa shule ya msingi, sekondari na vyuoni hapa nchini.

Zoezi Hilo limeshaanza kutekelezwa ila likiwa na sura nyingine tofauti na vile Serikali ilivyokusudia. Sasa walimu hawajapata wote katika ma shule Bali vishikwambi hivo vimegawiwa kwa kuangalia vipaumbele: kwamba kwenye shule walimu wanapewa Kalingana na levo za madaraka : mkuu wa shule, second master, academic, displine, walimu wakuu wa idara za masomo na walimu wa madarasa. Walimu wengine ambao hawana vyeo hawapati chochote Labda tu kama vimebaki.

Kwa mfano kuna shule imepata vishikwambi sita (06) na wakati shule hiyo ina walimu 33. Shule nyingine imepata vishikwambi 26 na wakati ina walimu 41. Kuna shule imepata vushikwambi 29 na wakati ina walimu 36. Vile vile kuna shule fulani imepata vishikwambi Sawa na idadi y’a walimu waliopo shuleni hiyo.

Ugaaaji wa hivi vishikwambi umezua sintofahamu kubwa kwenye taasisi ya Elimu na kuacha minong’ono mingi.
Asante kwa kuanzisha uzi huu ila kwa vile jukwaa hili ni la great thinkers naomba utaje shule,wilaya na mkoa ili iwe story inayoweza kufanyiwa kazi.
 
Back
Top Bottom