Walimu tarajali watakiwa kuwa wazalendo watakapopangiwa ajira zao

Evz

JF-Expert Member
Apr 28, 2014
674
130
Naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundu mh jenister mhagama amewataka walimu wote wanaosubiri kuajiriwa naserikali kuwa wazalendo na nchi yao kwa kukubali kupangiwa sehemu yeyote. Akifunga rasmi mafunzo ya kijeshi yaliyochukua takribani miezi mi3 na nusu waziri huyo amesema walimu wengi hawataki kufanya kazi sehemu za vijijini hivyo kusababisha shule za vijijini kukosa walimu wa kutosha. Waziri huyo alienda mbali zaidi na kusema walimu tarajali wanatakiwa kuwa na uzalendo kwa kukubali kufanya kazi popote watakapopangiwa na serikali..

CHANZO radio kiss fm
 
aisee kuna watu ni wajanja sana.. wamepeleka walimu wa diploma jkt ili wakitoka wawafanye wanavyotaka.. wao wamekaa mjini vijijini kwao wanaenda wakati wa uchaguzi... kwa kweli hakuna uzalendo Tanzania hata uwe komando
 
Nadhani anatakiwa kufanya hivo kwa mifano hasa kutoa some allowances kwa walimu hao ili kuwavutia zaid. Mambo ya kwenda huko hadi diwan wa kata std seven anamshushua shushua mwalimu tena graduate ni kudhalilisha taaluma za watu.
 
Dah watupange tuu

serikali kupitia wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi na TAMISEM imesitisha zoezi la kuajiri walimu wapya kwa mwaka 2015.hayo yamethibitishwa na waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi,mh shukuru kawambwa,alipokuwa akitoa ufafanuzi wa swali alilouliza mbuge wa Bahi,mh omari baduel,aliyetaka kujua ni lini serikali itaajiri walimu,maana ameskia kuwa mwaka 2015 serikali haitoajiri walimu.mh kawambwa aliongeza kwa kusema kuwa mahitaji ya walimu kwa sasa ni machache ukilinganisha na miaka kadhaa iliyopita.bunge litaendelea na majadiliano kesho kwa kupitia bajeti ya wizara ya nishati na madini
 
serikali kupitia wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi na TAMISEM imesitisha zoezi la kuajiri walimu wapya kwa mwaka 2015.hayo yamethibitishwa na waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi,mh shukuru kawambwa,alipokuwa akitoa ufafanuzi wa swali alilouliza mbuge wa Bahi,mh omari baduel,aliyetaka kujua ni lini serikali itaajiri walimu,maana ameskia kuwa mwaka 2015 serikali haitoajiri walimu.mh kawambwa aliongeza kwa kusema kuwa mahitaji ya walimu kwa sasa ni machache ukilinganisha na miaka kadhaa iliyopita.bunge litaendelea na majadiliano kesho kwa kupitia bajeti ya wizara ya nishati na madini

Tungoje tuone maana yamesemwa mengiiiiii
 
serikali kupitia wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi na TAMISEM imesitisha zoezi la kuajiri walimu wapya kwa mwaka 2015.hayo yamethibitishwa na waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi,mh shukuru kawambwa,alipokuwa akitoa ufafanuzi wa swali alilouliza mbuge wa Bahi,mh omari baduel,aliyetaka kujua ni lini serikali itaajiri walimu,maana ameskia kuwa mwaka 2015 serikali haitoajiri walimu.mh kawambwa aliongeza kwa kusema kuwa mahitaji ya walimu kwa sasa ni machache ukilinganisha na miaka kadhaa iliyopita.bunge litaendelea na majadiliano kesho kwa kupitia bajeti ya wizara ya nishati na madini

ajira zipo kaka acha kutisha walimu
 
kama ajira hakuna lazima walimu waanzishe kombora group against CCM zaidi ya panya road
 
wanapanga kuanzia mwezi huu, mwezi wa pili kabla ya tar 28, ajira zitakuwa tayari kutangazwa.
 
wanapanga kuanzia mwezi huu, mwezi wa pili kabla ya tar 28, ajira zitakuwa tayari kutangazwa.

by Kayoka said:
Serikali kupitia naibu waziri wa kilimo Bw. Godfrey Zambi imesema kuwa kwa sasa walimu waliopo wanatosha na haina mpango wa kuajiri walimu wapya kwa mkupuo ifikapo mwaka 2015 ila itaajiri tu walimu wachache kuziba nafasi za walimu waliokufa, kustaafu au kufukuzwa kazi.
source: Star tv habar

Ninachojua kila mtu hapa ana jibu lake lakin lipo ambalo ndo jibu sahihi kuliko yote! serikali iaache kutesa walimu
 
Back
Top Bottom