SUNDIATAKEITA
Senior Member
- Jan 1, 2015
- 157
- 89
Hata Wilaya ya misungwi mwanza.. Walimu hawajapokea hata centi c yakujikimu wala mshahara..
Point notedSorry pia nimeshindwa kuweka message yangu vizuri,kuna mwalimu alikuwa anaomba msaada wa kiasi cha mlo wa leo hali mbaya yuko mbali..
Sikumaanisha wewe...
Hahahaha!!!! Eti zipo kwa STONESio ualimu tu mpk ajira za afya za julai hakuna pesa za kujikimu. Wala msidhani ni walimu peke yenu. Ukiuliza halmashauri eti wanasema hakuna pesa. Pesa sijui zipo kwa STONE.
Na jana wameshinda chaguzi kwa landslide, kwa sie tuliosoma Correlation Analysis mahesabu yanakataa kabisa.I'm sorry to say this my dear JF member, sipo katika kada hiyo but si haki kumwona mtumishi anayeitumikia nchi kihalali akiishi maisha ya kuhangaika kiasi hiki. This is only in my motherland
Hahahaha mjombaaaaKwahiyo yule x wangu aliyepata kazi Wilaya ya Sikonge Tabora naye atakuwa anapitia huu msoto? Ngoja nimtafute naweza okota dodo chini ya muarobaini.