Hii ipo katika Halmashauri ya wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza. Sijui wamesahaulika au muda haujafika. Kumbuka hao ni binadamu na wana mahitaji yao binafsi na ya familia zao na wanalitumikia Taifa kihalali na kwa haki kwa mujibu wa sheria za utumishi wa umma. Sielewi tatizo lipo wapi.
Kumtumikisha mtu kufanya kazi na mafao yake hayapo hii si haki na si halali hata kidogo. Utu wa mtu uzingatiwe na sheria za utumishi wa umma zifuatwe na kutekelezwa ili walipwe fedha zao za kujikimu na pia walipwe mishahara yao kwani tangu Julai hadi Septemba hii wana haki ya kupata stahili/stahiki zao
Kumtumikisha mtu kufanya kazi na mafao yake hayapo hii si haki na si halali hata kidogo. Utu wa mtu uzingatiwe na sheria za utumishi wa umma zifuatwe na kutekelezwa ili walipwe fedha zao za kujikimu na pia walipwe mishahara yao kwani tangu Julai hadi Septemba hii wana haki ya kupata stahili/stahiki zao