Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,499
- 10,540
Kuna miaka waliandamana ati Dr Ndalichako alikuwa anaharibu matokeo ya vijana wao wenye dini. Sasa hivi yupo mtu wa upande wao lakini hali ni ileile.
Ni muda muafaka tuanze kutafuta suluhisho sahihi nje ya mihemko ya imani.
Ni muda muafaka tuanze kutafuta suluhisho sahihi nje ya mihemko ya imani.