Deodatus Dickson
Member
- Feb 6, 2016
- 15
- 4
huyo anaeuza kupatana kwa bei nzuri
mkuu hawa jamaa wako real kwel???cheki FB jamaa wanajiita highlife Tanzania
Jamaa wanaongeza cha juu.mkuu hawa jamaa wako real kwel???
ndio mkuu nimeshanunua kwao, unamfata hadi nyumbani kwake, issue ni bei tu.mkuu hawa jamaa wako real kwel???
shukrani kiongozi...ndio mkuu nimeshanunua kwao, unamfata hadi nyumbani kwake, issue ni bei tu.
tatizo online ni time... alaf jamaa wa tra last time walinisumbua sanaJamaa wanaongeza cha juu.
Bora uagize mwenyewe Aliexpress.com : Buy Global Version Xiaomi Redmi Note 4 Qualcomm 4GB 64GB Mobile Phone Snapdragon 625 Octa Core 5.5" FHD 13MP Fingerprint 4G FDD LTE from Reliable phone snapdragon suppliers on Xiaomi MC Store au kubali tu kupigwa kidogo kwa jamaa
hawa jamaa wame expand bila kufikiria na kununua nunua makampuni hovyo, sasa hivi wapo mahututi, enjo simu yako sasa hivi pengine usipate simu nyengine ya le eco.LeeCo le pro3
Simu kali sana
Duh hawa jamaa walitaka kufanya vitu kwa wakati mmoja ndo shida..hawa jamaa wame expand bila kufikiria na kununua nunua makampuni hovyo, sasa hivi wapo mahututi, enjo simu yako sasa hivi pengine usipate simu nyengine ya le eco.
Uliinunulia wapi hiyo simuRedmi 4x simu kali sana betri linakaa mpaka nasahau camera quality xiaom Safi sana
Nairobi mkuuUliinunulia wapi hiyo simu
Simu kali sana hii RAM 8GB ROM 164
noma sana
enjoy ulimwengu wa MIUI mkuu