Wale waliopita kibaha sec na mazengo sec.

Mazengo complex,wazee wa PGN(punga,gima na nyuka) inaonekana ulikuwa unakaa ujamaa ile floor ya juu na haukuwa unamis nyuka.
 
mazengo complex,wazee wa pgn(punga,gima na nyuka) inaonekana ulikuwa unakaa ujamaa ile floor ya juu na haukuwa unamis nyuka.
we mchawi ?umejuaje? Maana nilikuwa nashuka white house kwa spidi kuwahi nyuka kwa mzee shede,jioni wali kwa kameme
 
mkuu tupo sana kwa siri siri si unajua uku ni sehemu za kufyatua mabomu ...class mate wako apa wa kibaha remember .mkoba..ashura singano...evans..makange kilimali, nasra mondwa. khadija. kina matiko,joseph jumamne etc
 
tupo tele on air. Wu zengo pgm 2000-2002,
ww ni evance yule uliyechukua egm i am wrong...?
Mazengo complex, mwenge dom....

nilikuwa pcb na niliishi ujamaa. Nilijulikana kama balozi wa msalato nchini mazengo.unakumbuka mgomo wa kumtoa makunja?ulilala wapi?
 
mkuu tupo sana kwa siri siri si unajua uku ni sehemu za kufyatua mabomu ...class mate wako apa wa kibaha remember .mkoba..ashura singano...evans..makange kilimali, nasra mondwa. Khadija. Kina matiko,joseph jumamne etc

kweli mmejiandaa kwa mabomu,hujakosea kaka ,mlizoea kuniita ziroo.
 
Back
Top Bottom