EVANCE HENRY
Member
- Aug 9, 2011
- 79
- 77
Mimi nilipita kibaha sec 1997 mpaka 2000 na mazengo 2001 mpaka 2003.
we mchawi ?umejuaje? Maana nilikuwa nashuka white house kwa spidi kuwahi nyuka kwa mzee shede,jioni wali kwa kamememazengo complex,wazee wa pgn(punga,gima na nyuka) inaonekana ulikuwa unakaa ujamaa ile floor ya juu na haukuwa unamis nyuka.
sasa inakua nini,.
Mimi nilipita kibaha sec 1997 mpaka 2000 na mazengo 2001 mpaka 2003.
Mimi nilipita kibaha sec 1997 mpaka 2000 na mazengo 2001 mpaka 2003.
tupo tele on air. Wu zengo pgm 2000-2002,
ww ni evance yule uliyechukua egm i am wrong...?
Mazengo complex, mwenge dom....
mkuu tupo sana kwa siri siri si unajua uku ni sehemu za kufyatua mabomu ...class mate wako apa wa kibaha remember .mkoba..ashura singano...evans..makange kilimali, nasra mondwa. Khadija. Kina matiko,joseph jumamne etc