Collinsteve
Member
- Mar 19, 2019
- 88
- 46
Eneo la nusu heka na boma lake linauzwa
Kibaha kwa Mfipa jirani na Sec. ya Sim bani
Eneo Lina ukubwa wa nusu heka, kuna boma la nyumba ya vyumba 3 ambavyo vyote ni master, seble jiko na dining.
Nimeezeka vyumba 2 na vyoo vyake tayari vinatumika,
lina tank ya chini ya kuvunia maji lita elfu 3000,
umeme nguzo mbili,
maji ni mita 300
imefuka kido ulipoishia umeme
KM 1 kutoka main road.
Nataka milioni 18, mimi ndio mmiliki.
Simu: 0685223804
Kibaha kwa Mfipa jirani na Sec. ya Sim bani
Eneo Lina ukubwa wa nusu heka, kuna boma la nyumba ya vyumba 3 ambavyo vyote ni master, seble jiko na dining.
Nimeezeka vyumba 2 na vyoo vyake tayari vinatumika,
lina tank ya chini ya kuvunia maji lita elfu 3000,
umeme nguzo mbili,
maji ni mita 300
imefuka kido ulipoishia umeme
KM 1 kutoka main road.
Nataka milioni 18, mimi ndio mmiliki.
Simu: 0685223804