unamkumbuak msombwa? second master ..hahaha yule jamaa alikuwa kiboko aise. karugendoyule mwana aliyekuwa anavaa miwani? namkumbuka sana.
mack master yuko wapi siku hizi ticha wangu wa geography huyu alisababisha nipige A ya geography a-level
Ah Saint Ivuga unaniyeyusha Mack Master alikuwa mweupe sana mkuu...may be kama alikuja kui-prove later on....
mimi sikusoma galax ila ninafundisha galax now kwa mwaka wa pili sasa,msocha bado yupo na hazeeki yani yuko vilevile mlivyomuacha,si unajua jamaa mtu wa mazoezi..karia,shetui,torani wamehama,kinenekejo na mama maua wamestaafu december mwaka jana.mack master ndio mkuu wa shule kwa sasa.mama muhina,mama mgina bado wapo.shule kwa sasa inang'aa kama imejengwa jna na ina walimu wengi sana wa kiume halafu vijana watupu.......hahahahaha nadhani mnamkumbuka mr mshana,bado yupo ana simamia miradi.....nimefurahi mmejikumbusha enzi zenu!!karibuni tena tuijenga galax penda watoto!!!lori la shule sasa hakuna ipo defender tu,hivyo jipangeni muwataftie wadogo zenu hata coaster la shule ili wawe na usafiri wa kwenda sehemu mbalimbali kwa usalama na uhakika.thanx
mimi sikusoma galax ila ninafundisha galax now kwa mwaka wa pili sasa,msocha bado yupo na hazeeki yani yuko vilevile mlivyomuacha,si unajua jamaa mtu wa mazoezi..karia,shetui,torani wamehama,kinenekejo na mama maua wamestaafu december mwaka jana.mack master ndio mkuu wa shule kwa sasa.mama muhina,mama mgina bado wapo.shule kwa sasa inang'aa kama imejengwa jna na ina walimu wengi sana wa kiume halafu vijana watupu.......hahahahaha nadhani mnamkumbuka mr mshana,bado yupo ana simamia miradi.....nimefurahi mmejikumbusha enzi zenu!!karibuni tena tuijenga galax penda watoto!!!lori la shule sasa hakuna ipo defender tu,hivyo jipangeni muwataftie wadogo zenu hata coaster la shule ili wawe na usafiri wa kwenda sehemu mbalimbali kwa usalama na uhakika.thanx
ngwini,hahahahaaha rasta yupo anapiga mzigo kama kawa,na si unajua siku ikiwa zamu yake jikoni basi ujuwe DH lazima watu wanyanyg'anyie top layer...hahhahahaha akida mswahili hayupo alishastaafu kazi,wamebaki kina mashana,mgina,msocha,mhina,sembe,maganda,mbugi,naburi a.ka.a jembe,awadhi,na vijana wengine wapya ambao wanapiga kazi ya kufundisha balaa,yani madogo wakifeli wajilaumu wenyewe.tatizo madogo wengine wameoa mapana,hahahahahaahahahahaha
ngwini,hahahaaaaaaaaaa naburi wanamuita jembeeeeeee yani akiwa zamu shule inatakata inakuwa nyeupeeee af ni jeshi la mtu mmoja,yani ukimzingua naye anakuzingua.hahaaaaaaa but galax now ni A-level tu,hakuna o-level
ngwini,kuna pcm,cba,eca,hgk,egm na pcm.
Ah Saint Ivuga unaniyeyusha Mack Master alikuwa mweupe sana mkuu...may be kama alikuja kui-prove later on....
kweli jamaa alikuwa mweupe,nampa hongera kwa kutokosa kuingia darasani lakin kufundisha alikuwa mweupee
ngwini,kuna pcm,cba,eca,hgk,egm na pcm.
ngwini,hahahaaaaaaaaaa naburi wanamuita jembeeeeeee yani akiwa zamu shule inatakata inakuwa nyeupeeee af ni jeshi la mtu mmoja,yani ukimzingua naye anakuzingua.hahaaaaaaa but galax now ni A-level tu,hakuna o-level
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
CSEE 2011 EXAMINATION RESULTS
S0142 GALANOS SECONDARY SCHOOL DIV-I = 5 DIV-II = 4 DIV-III = 8 DIV-IV = 30 FLD = 7
Tangu lini O-Level imefutwa