Wale wa galanos agriculture sec school miaka ya 1999-2002...tujikumbushe!.

Aaah, mmenikumbusha mbali bandugu, mii namkumbuka yule mwalimu wa duka la shule, mfupi mweusi, mpare anaitwa nani vile? I think Greyson. Yule jamaa noma alikuwa amekariri majina ya wanafunzi wote, ila Kinala mii nilikuwa nampenda sana yuko fresh hana nongwa na wanafunzi alikuwa akija kutuamsha saa 11 asubuhi kwenda mazoezi mimi nilikuwa bweni la mkonge, ila kuna mwallimu wa nidhamu miaka ya 1999/2000 mweupe mrefu jina limenitoka alikuwa mnoko, kuna siku alikutana na washikaji mtaani wametoroka saa sita usiku jamaa akaja nduki kupigisha rokoo/bed check, jamaa nao wakaja mbio kwa njia za uchochoroni ilikuwa noma.
 
Kingine ninachokumbuk ni kuwa kwa kuwa wanafunzi wa A Level wote walikuwa wavulana na walikuwa wanakaa bwenini, na O level ni mchanganyiko na wasichana wote wa o level walikuwa day, ikifika saa kumi wakati O level wakiwa parade kwa ajili ya kutawanyika kwenda home, A level walikuwa wanaenda barabarani njia ya kutokea shuleni mpaka kule karibu na kwa akina Joyce getini karibu na stend, wanavizia/kusubiria madem wanapotoka na kuanza kuwatongoza.
 
Aaah, mmenikumbusha mbali bandugu, mii namkumbuka yule mwalimu wa duka la shule, mfupi mweusi, mpare anaitwa nani vile? I think Greyson. Yule jamaa noma alikuwa amekariri majina ya wanafunzi wote, ila Kinala mii nilikuwa nampenda sana yuko fresh hana nongwa na wanafunzi alikuwa akija kutuamsha saa 11 asubuhi kwenda mazoezi mimi nilikuwa bweni la mkonge, ila kuna mwallimu wa nidhamu miaka ya 1999/2000 mweupe mrefu jina limenitoka alikuwa mnoko, kuna siku alikutana na washikaji mtaani wametoroka saa sita usiku jamaa akaja nduki kupigisha rokoo/bed check, jamaa nao wakaja mbio kwa njia za uchochoroni ilikuwa noma.

huyo mwl mnoko alikua anaitwa Masati...! Siku hiyo huyo mwl alikutana na wanafunzi kwenye vijiwe vyake vya gongo. Nakumbuka sikuhiyo baadhi ya wanafunzi waliokimbia kurudi mmojawao alikua anaitwa Machumu Boniface, mwingne nimemsahau ila nasikia ni mjeda ana nusu bawa, Machumu yeye ni polisi. Usk huo aliwasachi akawakuta na 'kubel' mfukoni.
 
Kingine ninachokumbuk ni kuwa kwa kuwa wanafunzi wa A Level wote walikuwa wavulana na walikuwa wanakaa bwenini, na O level ni mchanganyiko na wasichana wote wa o level walikuwa day, ikifika saa kumi wakati O level wakiwa parade kwa ajili ya kutawanyika kwenda home, A level walikuwa wanaenda barabarani njia ya kutokea shuleni mpaka kule karibu na kwa akina Joyce getini karibu na stend, wanavizia/kusubiria madem wanapotoka na kuanza kuwatongoza.

mkuu kweli, ila enzi izo madem wa Galax wazuri walikua wanahesabika, si vyema nikiwataja hapa. Kwenye graduation party wakija madem wa St Christina full mifuniko....sasa kuna dem mmoja huyo bana wa Tanga tech kila wakija kwenye party watu wanajua ni dem wangu kwani tunacheza naye disco mwanzo mwisho. Hadi naondoka pale Galax sijawahi thubutu kum****! Kazi kwelikweli. Kuna picha zake kibao hadi sasa ninazo simkumbuki hata jina.
 
Back
Top Bottom