no9
Senior Member
- Nov 11, 2010
- 188
- 18
kama haujui ni bora ukauliza kwanza. Kampuni za simu hazipo kwenye makampuni yanasosamehewa kodi. Kwa tahari vocher ya simu unayoweka ili kupata credit inajumuisha na makato ya tra
sababu ya kubadili majina kila miaka mitano mie sijasikia sigara,tbl........wakibadili majina kama hawa jamaa ,