wakuu,hivi kama ukivizia simu ya mmeo au mkeo ukakuta sms ya kimapenzi,then huyo mtuhumiwa anakugeuzia kbao kuwa kwa nini umeshika simu yake,hapa nani anakosa
Kaunga nakwambia unaweza
geuziwa kibao kama wewe ndie mkosaji natamani ningekuwa najua kupiga
tarumbeta.
mmh yahtaj moyo
Njoo nikufundishe maana nacho ni kipaji! Olympic wangekitambua sijui ningekuwa na medali ngapi?
hivi ingekua ni wewe umekuta msg kama hy ka2miwa mkeo ungefanyaje?Hii kitu imewahi kunitokea mke wangu kavizia nipo bafuni naoga anajifanya ananipigisha story nyingi kumbe anapekupekua cm yangu akapambana na sms kali tu ya binti mmoja aliwahi kuwa mpenzi wangu ss akawa naona kanikumbuka kanitumia yy akaifungua halafu akajifanya amefura!!! nilimuuliza nani kakwambia ushike cm yangu?ohho ww si mpenzi wangu lazima nijue nn kinaendelea kwenye simu yako nikamjibu ss endelea kuipekua na usiniulize chochote kile utakachoendelea kukiona nikaizila ile simu pale nikasepa mbn jioni narudi hm nikakuta sms kama 20 hv hajagusa hata kidogo mpk leo anaiona kama kituo cha police coz me yk sitaki presha hata kuikalibia tu naogopa so conclusion kushika simu ya mpenzi au mke wako ni makosaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mwenye makosa ni huyo alokutwa na sms ya kimapenzi kwa sababu inaonesha ni jinsi gani alivyo msaliti wa penzi. Kugeuza kibao na kukufanya wewe uloshika simu yake ni mkosefu, hiyo ni self defence tu. Nakushauri endelea kushika simu yake ili kama anakusaliti ujue utafte njia ya kujinasua na mijigonjwa hatari, lol!wakuu,hivi kama ukivizia simu ya mmeo au mkeo ukakuta sms ya kimapenzi,then huyo mtuhumiwa anakugeuzia kbao kuwa kwa nini umeshika simu yake,hapa nani anakosa
Njoo nikufundishe maana nacho ni kipaji! Olympic wangekitambua sijui ningekuwa na medali ngapi?
kivipi!
Kufuatilia na kupekua simu isiyokuwa yako ni dalili tosha ya
kutojiamini!!