Kosa lipi sasa?
la yeye kuwa na mahusiano nje au
la wewe kupekua simu yake?
Kuwa jasiri mwaya, anatumia ukali ili kuua soo ambayo imesanuka; Omba msamaha uone ndio utabaki kuwa chini mpaka basi.
Kaunga nakwambia unaweza geuziwa kibao kama wewe ndie mkosaji natamani ningekuwa najua kupiga tarumbeta.
nimpe adhabu gan mtu wangu
wala si makosa cha msingi uwe umeshahakikisha kuwa huna magonjwa ya moyo, na wala hauko kwenye hatari ya kuyapata na pia uwe na kifua coz hatar ya kuanguka au kupata magonjwa hayo ni kubwa sana tu..............
sitanii....................