Wakuu wa Wilaya vivuli wa Serikali ya JF.

Mkuu nimecheka mpaka mbavu sina!
Twiga wote pakia, Tembo pakia nabakiza fisi tu kudadadeki!

Umenipeleka mbali na mwenzi wangu mkuu, halafu umemweka karibu na Asprin bana ah!
Usihofu, ntatumia kondom. Mambo ya kubambikiziana watoto yameshapitwa na wakati...
 
Kwanza nisaidie kujibu swali la huyu mjukuu wangu hapa chini uliyechemsha kumlipia mahari nikakupa kama zawadi......
Sasa na we babu vip? mpaka kila mtu ajue nilikukopa mahari?? Hii ndio hasara ya kufanya dili na vibabu, vinaweza kukusababishia udharaulike na mwandani wako!! Kwanza yenyewe tumeifaidi kwenye hani muni!
 
Nicas Mtei sasa ndo nimeamini taarifa nilizopewa na wanausalama kuwa una chuki binafsi na mimi,umeninyima nafasi afu kuhalalisha uovu wako unanibambikia shutuma za uongo.this is not fair!

umeingia mikataba mibovu na wafanya biashara wa kuku ukatia hasara ya mamilioni wilayan kwako.
 
Duh Ilala..............! Nitaanza na MACHINGA COMPLEX, kisha kile kiwanda cha Bierrrrrrr. naagiza kifungwe halafu soko la KARUME lihamie pale...........................

Kile kiwanda ndo kinachangia pato katika wilaya. Pia kina wadau wengi. Nadhan watakutoa roho ukikifunga.
 
Hahah hahah hahah,
Mahari ipi?fanya kazi mzee acha kusubiri mahari ndio umalize shida zako,
Mahari nilishaila mwenyewe siku nyingiiiiiiiiiiiiii!

Pole km ulimwahidi dada Glady km ukipata mahari yangu mtaenda kutumbua hahahaha!

hahahaha. Simo
 
Mkuu nimecheka mpaka mbavu sina!
Twiga wote pakia, Tembo pakia nabakiza fisi tu kudadadeki!

Umenipeleka mbali na mwenzi wangu mkuu, halafu umemweka karibu na Asprin bana ah!

Ctakuwa na huruma na m2 atakayeboronga. Magereza itamhusu. Ushaanza kauli za kifisadi. Hahahaha
 
Back
Top Bottom