Ina sound good, ila ilitokea ikiwa finalist yr.Usiruhusu kua na mpenzi sehemu za kazi, mitaa unayoishi, nyumba unayoishi, darasa moja and stuff like that. Fanya utafiti utakuja kunishukuru. Usiwinde maeneo ya nyumbani
Basi matokeo yake pia myakubaliMoyo ukishadondoka ndo umeumaliza mwendo hakuna cha workmate wala boss
We acha tu,huwaga Raha sana😂😂😂jibu huwaga "Ok, naheshimu maamuzi yako"Na ukute demu alikuwa ashamchoka
Nliwai pendana na boss wangu weee penzi lilikuwa tamu lileBasi matokeo yake pia myakubali
Maneno yote ya nini unaeza usimjibu hata moja...unafanya kudelete kila kitu chake unatulia afu huoneshi kinyongo, hautii huruma, yaani unakaza ile nothing has happened atafurahia showWe acha tu,huwaga Raha sana😂😂😂jibu huwaga "Ok, naheshimu maamuzi yako"
🤣🤣Hiyo ya kutulia imekaa poa sana... anaanza kuhangaika yeyeManeno yote ya nini unaeza usimjibu hata moja...unafanya kudelete kila kitu chake unatulia afu huoneshi kinyongo, hautii huruma, yaani unakaza ile nothing has happened atafurahia show
Yaani design kama hujui lolote wala humtambui before😂😂🤣🤣Hiyo ya kutulia imekaa poa sana... anaanza kuhangaika yeye
Wachaga wa rombo.Acha kujaribu moyo mkuu ohoooo
Haya sasa
Wamefanyaje tenaWachaga wa rombo.
Wakorofi na wababeWamefanyaje tena
YeahWakorofi na wababe
Pole mkuu hii kitu namm kidogo nijichanganye kwa workmate, Mungu mkubwa niliepukana nayo,Habari za sikukuu ya pasaka natumai wote ni wazima wangwana niende Moja Kwa moja kwenye mada ni kwamba hapa kazini Kuna dada mmoja tulitokea kupendana sana Sasa juzi tukapishana kauli nikatikisa kiberiti mwenzang kamwaga njiti kabisa nilikuw nampima tu kwamba tuachane akakubali Sasa nimeweka ngumu lakini naona kabisa nashindwa kibaya Kila saa namuona anavyo chat na majamaa wengine Wanacheka nn Kwa kweli nje navumilia lkn nachomeka mwenye mbinu yeyote anipe jaman ya kumpotezea unaye mpenda alaf mpo karibu ushauri pia kukosolewa naruhusu karibuni sana