CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,253
- 12,869
viva Tarime! viva Kurya tribe. . .
Wakunyumba Denis denny katika anga hizo ninyi ni aminia.
Huwa nasikia mnasema Mdala pa mwana ugimbi pa meza!!
Huku mtaani wanasema mngoni mkabidhi fedha hata yawe mamilioni mengi kiasi gani yatafika lakini ukimuachia nafasi na mkeo umekwisha, kwamba mnapenda sana k kuliko kitu chochote! tehetehetehe...
Mwita ivi ile mila yenu ya kurithi wanawake bado ipo au siku hizi mmeipotezea!
Walimweusi ninavyojua kwa wakurya mke wa ndugu harithiwi. Kinachofanyika ni kuendeleza familia ya marehemu ili isipotee kwani kwa mila na desturi za wakurya ukirithi mke wa ndugu wewe unaendelea kuhesabika kuwa "bachelor" mpaka hapo utakapooa mke wako. Ukirithi mke wa mtu asiye ndugu yako wewe unahesabika kuwa mzinzi tu na jina ya watu wa aina hii kwa kikurya ni "watwali".
wakurya wote mliopo humu kidole juu. . . .
Kidore cha mwisho juu...wakurya wote mliopo humu kidole juu. . . .