Salaam zenu wakubwa!
Habari za mishe mishe na mizunguko ya hapa na pale?
Going back to topic, naombeni tuwajadili ndugu zangu hawa katika swala zima la mahusiano!
Si mwanaume wala mwanamke, wote kwa ujumla tu wakorofi katika mahusiano.
Guys, ni kweli kabisa wakurya hatujui mapenzi! Labda tu kwa vijana wa sasa tena ambao tumesoma , na hata hao pia waliosoma, wakikorofishwa huwa ni moto Wa kuotea mbali! Atakupiga hata mbele ya kadamnasi!
Wanawake nao, eti asipopigwa, hapendwi!! Kuna dada mmoja wa kichaga kapata bwana wa kikurya, nakwambia hata hawezi simama na mwanaume hivi hivi wapige hata story kidogo akihfia bwanaake!
Wewe ni mkurya wa ukoo upi?
Mkira
Mtimbaru
Mlenchoka
Munchari
Muiregi
Mukenye
Mhunyaga
Mukiroba
Mukine
Muryeri
Musweta
Munyamongo
Munyabasi
Asante sana kwa kukiri wake/waume wa kabila hili NI WAKOROFI!Ningefurahi sana ungeendelea kutoa sifa zenu nyingine, au nikusaidie?
Salaam zenu wakubwa!
Habari za mishe mishe na mizunguko ya hapa na pale?
Going back to topic, naombeni tuwajadili ndugu zangu hawa katika swala zima la mahusiano!
Si mwanaume wala mwanamke, wote kwa ujumla tu wakorofi katika mahusiano.
Guys, ni kweli kabisa wakurya hatujui mapenzi! Labda tu kwa vijana wa sasa tena ambao tumesoma , na hata hao pia waliosoma, wakikorofishwa huwa ni moto Wa kuotea mbali! Atakupiga hata mbele ya kadamnasi!
Wanawake nao, eti asipopigwa, hapendwi!! Kuna dada mmoja wa kichaga kapata bwana wa kikurya, nakwambia hata hawezi simama na mwanaume hivi hivi wapige hata story kidogo akihfia bwanaake!
Salaam zenu wakubwa!
Habari za mishe mishe na mizunguko ya hapa na pale?
Going back to topic, naombeni tuwajadili ndugu zangu hawa katika swala zima la mahusiano!
Si mwanaume wala mwanamke, wote kwa ujumla tu wakorofi katika mahusiano.
Guys, ni kweli kabisa wakurya hatujui mapenzi! Labda tu kwa vijana wa sasa tena ambao tumesoma , na hata hao pia waliosoma, wakikorofishwa huwa ni moto Wa kuotea mbali! Atakupiga hata mbele ya kadamnasi!
Wanawake nao, eti asipopigwa, hapendwi!! Kuna dada mmoja wa kichaga kapata bwana wa kikurya, nakwambia hata hawezi simama na mwanaume hivi hivi wapige hata story kidogo akihfia bwanaake!
Kwanza kabisa hatuna mkurya mshamba kama wewe, sifa yetu ya kwanza ni confidence, sifa ambayo hauna, kwahiyo wewe huwezi kuwa mkurya labda wa kuchovya!
Wakurya wakorofi eeh, halafu bado wadada wanatugombania kila kukicha, tena wa makabila mengine ndio zaidi hasa wachaga na wameru. Uliza ujibiwe usikurupuke!
Nyie mnaojifanya kuendekeza gender balance katika ndoa mmeshindwa kuzihandle nyumba zenu. Hata vitabu vitakatifu vinasema mume ni kichwa cha nyumba sasa nyie endeleeni kuwa mikia sisi tunazidi kusonga mbele!
Bado una swali?
Naanza kujibu kama ifuatavyo: hatujui mapenzi mimi nafikiri labda wewe ndo hujui mapenzi kwanza jiamini simama kama wewe kama hujui omba darasa ufundishwe.
waliosoma, wakikorofishwa huwa ni moto Wa kuotea mbali! sidhani kama kuna mtu utamkorofisha makusudi acheke tu ili hali ameudhiwa na hii si kwa wakurya tu bali watu wote I mean hata wazungu, waarabu, n.k
dada kichaga kapata bwana wa kikurya sasa huyo dada wa kichaga kupata mwanaume wa kikurya wewe kuna kuhusu nini? au kwa vile amepata mchumba akakuacha sasa unataka kumharibia, acha wivu wa kizamani tulizana na wewe utapata wako.
nakwambia hata hawezi simama na mwanaume hivi hivi wapige hata story kidogo akihfia bwanaake!unataka asimame apige story na wanaume ya nini? huoni kwa kuwa unapiga story na wanaume bado hujapata wako na ndo maana unataka kumpoteza na yeye ili apige story akikutwa aachwe.
Kwanza kabisa hatuna mkurya mshamba kama wewe, sifa yetu ya kwanza ni confidence, sifa ambayo hauna, kwahiyo wewe huwezi kuwa mkurya labda wa kuchovya!
Wakurya wakorofi eeh, halafu bado wadada wanatugombania kila kukicha, tena wa makabila mengine ndio zaidi hasa wachaga na wameru. Uliza ujibiwe usikurupuke!
Nyie mnaojifanya kuendekeza gender balance katika ndoa mmeshindwa kuzihandle nyumba zenu. Hata vitabu vitakatifu vinasema mume ni kichwa cha nyumba sasa nyie endeleeni kuwa mikia sisi tunazidi kusonga mbele!
Bado una swali?
tata we ni nouma!
Mi kwa ukwleli ni munyabasi kutoka upande wa mama na pia ni mungurimi kutoka kwa baba!!