Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
niliwahi kukutwa na mama mzazi NAFANYA MATUCI NA HAUSIGELI!..halafu yeye alikuwa mkubwa sana kwangu.mimi nilikuwa darasa la tatuhahaaa kwani we Goeff unakumbuka nini ukiwa saint Halmashauri???
niliwahi kukutwa na mama mzazi NAFANYA MATUCI NA HAUSIGELI!..halafu yeye alikuwa mkubwa sana kwangu.mimi nilikuwa darasa la tatuhahaaa kwani we Goeff unakumbuka nini ukiwa saint Halmashauri???
Vipi, una Holes kumbe?
niliwahi kukutwa na mama mzazi NAFANYA MATUCI NA HAUSIGELI!..halafu yeye alikuwa mkubwa sana kwangu.mimi nilikuwa darasa la tatu
au kombolele ya kubadilishana nguo?au kukata matete?si useme tu,that was then this is now
shuleni...well!nilikuwa mdogo sana lakini nakumbuka kuna mdada tukiwa darasa la sita ALIANZA KUTOKWA NA MCHUZI MWEKUNDU MAENEO YA NDOA..!ilikuwa kama saa tatu asubuhi hivi,insidenti nyingine shuleni je ...kushika tumatiti hivi and stuff!!!??
shuleni...well!nilikuwa mdogo sana lakini nakumbuka kuna mdada tukiwa darasa la sita ALIANZA KUTOKWA NA MCHUZI MWEKUNDU MAENEO YA NDOA..!ilikuwa kama saa tatu asubuhi hivi,
ikabidi wavulana wote tutoke nje
hivi sijui aliumia?
shuleni...well!nilikuwa mdogo sana lakini nakumbuka kuna mdada tukiwa darasa la sita ALIANZA KUTOKWA NA MCHUZI MWEKUNDU MAENEO YA NDOA..!ilikuwa kama saa tatu asubuhi hivi,
ikabidi wavulana wote tutoke nje
hivi sijui aliumia?
ona sasa!!! hebu na wewe sema ulipokuwa unasoma shule ya mt. Kabaka unakumbuka nini sio kunikomalia mimi tu as hivi you yourself has no experience alaaaah!!!
Mi nilikuwa na experience ya kuweka kioo chini ya miguu ya wasichana tukiwa mstarini afu baadaye natangaza darasani "Leo bht umevaa chupi nyekundu, unabisha?" Basi darasa zima kicheko!
Au kama si kuputa mchanga unamwamrisha mmoja amtukaniye mwingine baba yake! Akitukana tu, shughuli inaanza!alafu wakati mzuri ulikuwa ni wakati wa kufunga shule,ngumi za kufa mtu lazima umpanie mtu then umuweke kiporo siku ya kufunga xul,mm kazi yangu ilikuwa kuchora mstari au kushika mchanga ili mtu apute ngumi zianze,duh Raha
kaka mmoja aliniandikia ka barua amechora chora vimkuki vya love nikaipeleka kwa mwalimu darasa la tano wazazi wake wakaitwa eeh jamani ..( wewe kaka mapinduzi uko hapa)?
unaonekana wa kivile weweee!!
alafu wakati mzuri ulikuwa ni wakati wa kufunga shule,ngumi za kufa mtu lazima umpanie mtu then umuweke kiporo siku ya kufunga xul,mm kazi yangu ilikuwa kuchora mstari au kushika mchanga ili mtu apute ngumi zianze,duh Raha
Mpaka leo sijaacha. Mabinti na vimini vyao wakikaa vibaya hapa kantini nawatajia rangi ya bikini walizovaa! Hahaha! Maisha bana! Zamani mtu ulikuwa unafunua chup.i ndio unaona tak.o, siku hizi watu wanafunua tak.o ndio wanaona chup.i!
hahaaaa hiyo kali!! alivunja bikira yako kaka mapinduzi!!!