bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
halafu umesahau ulikuwa unakaa msuchana peke yako kwenye dawati la wavulana
Haaaa nilikuwa nakaaa na braza wangu kipindi cha sayansi wakati wa somo la mifumo ya uzazi....(was stupid) mwl akaniambia ni kosa la mzazi kunileta shule mapema sijui nitendalo haaaaaaaaaaaa duh!!!! i mis zozii deizzz!!