Mimi ningekuona una akili kama ungekuwa mwiba kwa mafisadi walioifikisha kwenye hali mbaya Tanzania lakini umewekeza nguvu zako kwa mambo yasiyo na msingi,inaonekana upo kwenye posho za kina makamba
Yaani unategemea watu wengine ? Kukuunga mkono ,we vipi ? salama lakini ???? mi nitakusaidia !!
Hii kitu open ,usiwe katika wale ambao wanafumbia macho ,kama Jk na Mwinyi walipita huko basi tuwe tuliosoma na kuelewa na si wenye kusoma kisha tukarejesha kule kule tulikotoka ,ndio tutakuwa hatuendi mbele ,kama unajua Jk alifanya hivyo,Mwinyi nae vivyo leo hii mchana kweupe hadharani hata watoto wanaona na kuelewa ,kwa nini tunataka kumchagua aliefanya ya Jk na ya Mwinyi ?Hao ni walolole gani wanaoongelewa? ASIYE NA DHAMBI NA AWE WA KWANZA KUMTUPIA JIWE. wakristo, waislamu, wana CCM, chadema na hata wasion na dini wako tayari kumpa Dr. Slaa kura ili aikomboe na mafisadi, labda hiyo ni yako ya kutunga!! Rethink
Mbona hajasifia CCM hapa, kasema juu ya lipumba (CUF). Au we kasababu akili yako imejaa chuki juu ya CCM ukiona hata C moja (CUF) mwill unasisimuka?
Hii kitu open ,usiwe katika wale ambao wanafumbia macho ,kama Jk na Mwinyi walipita huko basi tuwe tuliosoma na kuelewa na si wenye kusoma kisha tukarejesha kule kule tulikotoka ,ndio tutakuwa hatuendi mbele ,kama unajua Jk alifanya hivyo,Mwinyi nae vivyo leo hii mchana kweupe hadharani hata watoto wanaona na kuelewa ,kwa nini tunataka kumchagua aliefanya ya Jk na ya Mwinyi ?
Kibaka hafai kuwa kiongozi wa Chadema wacha Raisi wa Tanzania ,yaani sasa mnafanya masihala na kiti cha Uraisi ,nyie vipi ? Ivi mna akili timamu ? Au ndio mnajipendekeza ? Ukweli usemwe uanikwe ili tupate kiongozi mtenda wema ,sio mdanganyifu na mwepesi kwa mambo ya anasa ?
Hivi wewe unategemea kuwa hayo maneno unayoi-ongea yanaingia kwenye mioyo ya watu au kwenye bongo zao?? Kwani nani hajui society zetu; you're just helping to make Dr Slaa a Hero!! Hivi hebu nikuulize; badhi yetu tunajiridhisha tuwe na wake wanne au zaidi, eti tunawaandikisha kuwa ni wake zetu. Do yu belive that is life? Agree that we don't have any criteria of judging our ethical behaviour. Inabidi hizo sheria zilanze sasa. Maana mie nachoshamgaa children born from outside marriage in Tanzania is common; sijawahi kuiona familia Tanzania ambaoyo haina watoto ambao wamezalia out of edlock. It a calamity!!Yaani unategemea watu wengine ? Kukuunga mkono ,we vipi ? salama lakini ???? mi nitakusaidia !!
kwa maana hizo post zote za dini kwenye siasa ziondoke? usihamaki utaingia prsha bure
Typical; hata kama Mwinyi hangeleta TV mwingine angeleta; do you know the worst President of this country was Mr. Mwinyi?? Nani kakwambia suruali ni muhimu kulko kaptura?? Go to school first!!mbona unamtaja mwinyi mzee? achana na mzee wetu bana ndio aliekufanya ukaijua tv wewe? ukapata umeme kwako. ukajua kuvaa suruali nzuri
If you don't have something to do this Saturday you better sleep rather than bringing on a crap story.
Ushauri tu, ukitaka kumuunga mkono Kikwete, Lipumba, Slaa, Mziray, Muttamwega,.... huhitaji kusema Wakristo na Waislamu, sema tu Watanzania. Hata hivyo bado naona hakuna haja ya watu kujibu post yako kwa sababu hauko serious, unatoa hoja bila kuonesha chanzo cha habari yako. Hili ni tatizo kwako na kwa nchi maana tunahitaji vijana kama wewe mtupe michango ya maana nikiamini angalau kwa kiasi fulani umeenda shule. Ndo hoja yangu.
Inasikitisha kuona kuwa hadi leo hii watanzania wanashindwa kujua kuwa uongozi bora haupimwi kwa kiwango cha ngono bali uzalendo na uwezo wa kuongoza. Naomba kila mwanaume ajihoji mwenyewe kuhusu uhusiano wake na mke wake. Wachambuzi na wanafalsafa wa kale waliamini kuwa ukijali sana ndoa huwezi kuifikiria jamii pana zaidi ya kijiji chako. Sina shaka kuwa wale wanaolichukia taifa la Tanzania na kutaka liendelee kuwa hivi lilivyo ndio wanaoibua haya maswala ya ngono za Dr. Slaa. Mbona hmjawa na ujasiri wa kuhoji ngono za Kikwete? Au kwavile mnamlamba na yeye anawapa ushuzi wake mwashiba? Acheni unafiki huo, hebu tuyaangalie maisha ya mashujaa wa ulimwengu huu ambao nchi zap zinakumbuka michango yao na tulinganishe na maisha yao ya ndoa ndo tuone jinsi gani mnaohoji maisha ya ngono ya Dr Slaa yasivyo ya msingi. Angalia Mandela anavyoheshimika lakini ndoa yake je? Zuma ndoa yake je? Bill Clinton ndoa yake je? Sarkozy ndoa yake je, KUMBUKENI KUWA KIONGOZI WA TAIFA KAMA TANZANIA HAPOIMWI KWA WINGI WA MUDA ANAOUTUMIA KANISANI AU MSIKITINI BALI APIMWE KWA UWEZO WAKE WA KUPAMBANA NA MATATIZO YA WANANCHI. Hivi huyu Kiwete wenu ambaye amefikia hadi hatua ya kubinafsisha hadi chama cha Mapinduzi na kuwa mali ya familia ili aweze kuibinfsisha na nchi, mwamwona bora kuliko Slaa?Poleni sana Watanzania wenzangu msiotaka mabadiliko.