darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 8,745
- 16,983
Na huo udhaifu wa kuamini unamtolea Mungu ndio unatumia vibaya na wachungaji wasio waaminifu.! Wakristo walio WAKRISTO (waliookoka) wanapotoa sadaka wanajua wanamtolea Mungu..
Na huo udhaifu wa kuamini unamtolea Mungu ndio unatumia vibaya na wachungaji wasio waaminifu.! Wakristo walio WAKRISTO (waliookoka) wanapotoa sadaka wanajua wanamtolea Mungu..
Wakristo ni wapuuzi ...ndiyo maana wanasababisha majambazi na wahuni kuanzisha makanisa na makanisa ya kihuni kuongezeka nashauri waache kupeleka sadaka makanisani na wakipeleka isizidi buku tu vinginevyo ukristo utazidi kuchafukaMakanisani wakristo wengi wakishatoa sadaka kanisani ndio shughuli imeishia hapo. Ni rahisi sana kuwakuta wachungaji mabilionea wanaotajirika kwa sadaka za waumini lakini kuna waumini wana changamoto zinazoweza kutatulika kwa milioni 10 ila wanaombewa badala ya kusaidiwa
Licha ya kwamba waislamu wengi ni maskini ukilinganisha na wakristo, Nimegundua waislamu hawatoi sana sadaka misikitini lakini huwa wanasaidia sana huku nje.
Nimewahi kupata shida ya maji na niliweza kuchota maji bure kabisa msikitini wiki nzima.
Niliwahi kufikia sehemu sina pa kulala nilienda kanisani nikiwa muumini wa kanisa tangu mtoto lakini nilikataliwa kabisa, sehemu iliyonitunza ni msikiti, kanisa waweza kukuta lina mabomba ya kutosha ila ni kwajili ya matumizi ya kikanisa tu.
Mwezi wa Ramadhani ule mwezi mzima ni kawaida sana kuwakuta waislam wanasaidia vyakula watu wenye shida.
Waumini wana magonjwa ambayo yanatibika kwa milioni 10 lakini wachungaji wenye account zinazosoma Bilioni wapo kujifanya wanawaombea, Kweli? Haya kama sio maombi ya kinafki tuyaitaje?
Pamoja na mazuri haya kilichonitatiza kuhamia uislam ni dini ambayo ina baadhi ya sheria zenye mirengo mikali sana, hakuna free will uhuru wa kiimani kwamba unaweza kuchagua dini nyingine, kukariri koran na kuomba kwa lugha usiyoijua, mistari yenye kuchochoea chuki dhidi ya wasio waislam, n.k.
Naunga mkono WaislamuMakanisani wakristo wengi wakishatoa sadaka kanisani ndio shughuli imeishia hapo. Ni rahisi sana kuwakuta wachungaji mabilionea wanaotajirika kwa sadaka za waumini lakini kuna waumini wana changamoto zinazoweza kutatulika kwa milioni 10 ila wanaombewa badala ya kusaidiwa
Licha ya kwamba waislamu wengi ni maskini ukilinganisha na wakristo, Nimegundua waislamu hawatoi sana sadaka misikitini lakini huwa wanasaidia sana huku nje.
Nimewahi kupata shida ya maji na niliweza kuchota maji bure kabisa msikitini wiki nzima.
Niliwahi kufikia sehemu sina pa kulala nilienda kanisani nikiwa muumini wa kanisa tangu mtoto lakini nilikataliwa kabisa, sehemu iliyonitunza ni msikiti, kanisa waweza kukuta lina mabomba ya kutosha ila ni kwajili ya matumizi ya kikanisa tu.
Mwezi wa Ramadhani ule mwezi mzima ni kawaida sana kuwakuta waislam wanasaidia vyakula watu wenye shida.
Waumini wana magonjwa ambayo yanatibika kwa milioni 10 lakini wachungaji wenye account zinazosoma Bilioni wapo kujifanya wanawaombea, Kweli? Haya kama sio maombi ya kinafki tuyaitaje?
Pamoja na mazuri haya kilichonitatiza kuhamia uislam ni dini ambayo ina baadhi ya sheria zenye mirengo mikali sana, hakuna free will uhuru wa kiimani kwamba unaweza kuchagua dini nyingine, kukariri koran na kuomba kwa lugha usiyoijua, mistari yenye kuchochoea chuki dhidi ya wasio waislam, n.k.
Hizo shule mnasoma bure, hospital mnatibiwa bure? Hiyo ni miradi ya kanisa sio msaadaWakristo utoaji unaonekana wazi Tena mkubwa kaangalie shule zilijengwa na wakristo kuanzia chekechea ,msingi Hadi sekondari na Hadi vyuo vikuu ili.kuondolea waumini ujinga na kuwapa elimu ya uhakika shule
Pili kaangalie mahospitali yanayohudumia watu wote bila ubaguzi makubwa Hadi ya rufaa yaliyojengwa na Wakristo.Waoslamu kazo kugawa tende mwezi wa Ramadhani na kufuturisha watu au kugawa kakiroba la kilo kumi.kamoja mwezi wa Ramadhani.Maskinini anaishia tu kufuturu Ramadhani baada ya hapo anarudi kwenye Umaskini wake anasubiri Ramadhani ijayo
Ni yepi hayo au yale ya chama cha siasaWalituleteaga fujo ya mapanga wale Kenge (AnswarSun) sitawasahau!!
itaje upingwe kwa hojaUna data shihihi za kuthibitisha hii kauli?. Mbona taarifa za kitakwimu zinaonyesha mikoa yenye idadi kubwa ya wakristo ndio inaongoza kwa umaskini.
Nitake radhi mimi sio dogo.Huyo jamaa baada ya kuona mzee wako anachuki nae akamshughulikia ili kumtia adabu. Alivyonyooka akamwachia. Usicheze na ustaadh dogo.
Maji ni muhimu kuliko kitu chochote.Bila maji mwanafunzi hawezi kwenda shule,kuoga,kufua,kwenda choo,kupika,vyote vinahitaji maji.Hata ukiumwa,kabla kwenda hospital,kunahitajika maji ya kuoga,kufua,kwenda choo,upikiwe uji,usafi wa deki,kunahitaji maji.Maji muhimu kuliko kingine chochote.Wakristo utoaji unaonekana wazi Tena mkubwa kaangalie shule zilijengwa na wakristo kuanzia chekechea ,msingi Hadi sekondari na Hadi vyuo vikuu ili.kuondolea waumini ujinga na kuwapa elimu ya uhakika shule
Pili kaangalie mahospitali yanayohudumia watu wote bila ubaguzi makubwa Hadi ya rufaa yaliyojengwa na Wakristo.Waoslamu kazo kugawa tende mwezi wa Ramadhani na kufuturisha watu au kugawa kakiroba la kilo kumi.kamoja mwezi wa Ramadhani.Maskinini anaishia tu kufuturu Ramadhani baada ya hapo anarudi kwenye Umaskini wake anasubiri Ramadhani ijayo
ZAKAH YA MSHAHARA -02
Hakuna watu wanaotoa sadaka kwa sifa kuwazidi wakristo ndio maana kuna nyimbo kabisa za sadaka...sasa je tujiulize wakati wa manabii sadaka ikitolewaje?Sio kweli, tunatoa kanisani na tunatoa nje japo hatujioneshi. Kaa ukilitambua hilo. Tunamuongozo wa namna ya kutoa kwa wahitaji mkuu.
Naona unaleta mashindano ya kidini. Hakuna anayetoa sadaka kwa sifa, wanatoa sadaka kwa kile Mungu alichowabariki na toka mwanzo watu walikuwa wanatoa sadaka tena kwa nyimbo za furaha na kumshukuru Mungu. Abeli alitoa Sadaka, Nuhu alitoa sadaka, Ubrahimu alitoa sadaka tena Fungu la Kumi kwa Melkizedeki. Musa alitoa sadaka kule Mlimani na hata wakati wa ujenzi wa Hema la kukutania walitoa sadaka kwa mioyo ya kupenda, shukrani na kuimba.Hakuna watu wanaotoa sadaka kwa sifa kuwazidi wakristo ndio maana kuna nyimbo kabisa za sadaka...sasa je tujiulize wakati wa manabii sadaka ikitolewaje?
Sasa hao hao Answar wanaenda mahospitalini na kutoa misaada ya vyakula na nguo bure
Kwangu mimi sadaka hiyo ina sauti kubwa kuliko sadaka ya Kinafiki
Kama ningekuwa Muislam ningekuwa Answar
Simple, Eleza ukweli!!Hakuna ukweli.
We unawaza kafara tu!?..kafara kwenye uislam ni Haram,hutakiwi kula chakula Cha kafara ni Haram Kama nguruwe na pombe,Idd waislam hutakiwa kutoa chakula mashuhuri kwa masikini,hutoa m hele,nyama na mafuta bila kujali Imani ya masikini husika . uislam unasisitiza kusaidia wasiojiweza,ndiyo kazi ya zakka na sadaka, mtaani wakiristo wanazitwanga kinoma hizo nyama na huzingoja kwa hamukitu ambacho siwezi kuruhusu familia yangu itumie ni hizi nyama za kugawiwa BURE kutoka misikitini.
Nyama za Kafara
Ni wakristo sio wakiristoWe unawaza kafara tu!?..kafara kwenye uislam ni Haram,hutakiwi kula chakula Cha kafara ni Haram Kama nguruwe na pombe,Idd waislam hutakiwa kutoa chakula mashuhuri kwa masikini,hutoa m hele,nyama na mafuta bila kujali Imani ya masikini husika . uislam unasisitiza kusaidia wasiojiweza,ndiyo kazi ya zakka na sadaka, mtaani wakiristo wanazitwanga kinoma hizo nyama na huzingoja kwa hamu
Kiristo..ni tangu zamani,mnabadilibadili tu misamiati,Tena Nyerere akiita kiristuNi wakristo sio wakiristo
Nimekuambia ni wakristo sio wakiristo sasa nyerere anahusika na nini au ni nani hasa kwenye ukristo?Kiristo..ni tangu zamani,mnabadilibadili tu misamiati,Tena Nyerere akiita kiristu