Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,747
- 35,132
Una hoja mkuu, sadaka inayowagusa wenye uhitaji ni sadaka njema sana kuitoa hata nafsini mwako unapata amani.Sasa hao hao Answar wanaenda mahospitalini na kutoa misaada ya vyakula na nguo bure
Kwangu mimi sadaka hiyo ina sauti kubwa kuliko sadaka ya Kinafiki
Kama ningekuwa Muislam ningekuwa Answar