screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,814
- 15,740
Acha kumfananisha Jack Pemba na mambo ya kijingaDuuu! Wengine wananyea ndoo, ila huyu chief kiumbe nasikia yuko kwa m7!
Acha kumfananisha Jack Pemba na mambo ya kijingaDuuu! Wengine wananyea ndoo, ila huyu chief kiumbe nasikia yuko kwa m7!
atadekiwa tu, ulichosahau ni kwamba kilikua kipindi cha uchaguzi ila akina ndama walikua mapedeshee muda wote, lowasa bado ni hatari usimchukulie poaKuna pedeshee mwingine a.k.a fisadi Lowasa, alikuwa mpaka anadekiwa barabara ndo apite, naye kayeyuka pia!
Hivi huyu ndiye mkuu wa mkoa wa mbeya?Pedeshee Amos Makala
kaenda kuwekeza kwenye viwanda?Duuu! Wengine wananyea ndoo, ila huyu chief kiumbe nasikia yuko kwa m7!
Yuko Wapi?Acha kumfananisha Jack Pemba na mambo ya kijinga
Alikamatwa kwa kutakatisha pesa,nadhani bado yupo lupango..Duuu! Wengine wananyea ndoo, ila huyu chief kiumbe nasikia yuko kwa m7!
lowasa is a major pain in ura$$. A day never pass without mentioning him.Kuna pedeshee mwingine a.k.a fisadi Lowasa, alikuwa mpaka anadekiwa barabara ndo apite, naye kayeyuka pia!
Mzee wa mvomeroPedeshee Amos Makala
Huyu na udalali wa magari alikua anafanyaKizai zai super tollu
alishatokaMusofe segerea siku mingi