Wako wapi mapedeshee walioimbwa na kugawa pesa kwa wasanii wa bendi?

Jaman kwan zinapokuwa zinaimba bendi huko huwa mnaenda? Usikute bado wapo wanamwaga mihela ila nyie ndo hamuend viwanja....pedeshee anaimbwa kila wimbo na kusifiwa yeye tu .daah hela noma
 
Wapo manyumbani mwao, nadhani kutokana na upepo kuelekea kusini , na wao wameelekea huko huko
 
kuna mmoja nilimshudia pale makumbusho wakati bendi ya mapacha watatu ilipokuwa inatumbuiza,wenyewe walikuwa wanamuita "bedeshee Nyumba nyingi".

kila akitajwa ananyanyuka kwenda kutunza...kwa haraka haraka alitunza kama laki tano hivi.

siku hizi simskii tena.
 
Back
Top Bottom