WaKenya wazidi kuvamia ajira Tanzania

Sijui kama Immigration na Labour Office zinafanyakazi. Wanatakiwa wawe na valid Work Permits na pia Labour wajiridhishe kwamba hakuna mtanzania anayeweza kufanya kazi hizo. Mkifuatilia wanaingia tu na kuanza kazi kiholela. Ni wachache ndiyo wenye documents husika.
 
Many to talk:
Wa-tz maoficn majungu ndio mpango, uvivu ndio balaa, vikao hata cha ndani ya ofc husika 1st thing wanauliza kama kina posho (ili awe motivated kwenda) hata kama kikao ni kwa maslahi ya kampuni etc.

JK kusema (nanukuu from hapo juu kwa mdau) kama yeye anathubutu kunena labda watz wavivu inaleta picha sio nzuri. Media inaeneza kirahisi haya waajiri wanayasikia haya, nadhani ilipaswa wawe na tamko linalofanana wao km serikali kuu! Lakini since kila mtz apatapo chancha cha kwanza ni tumbo lake baasi ndio result vizazi na vizazi kurithishana. Who to blame?

Wamachinga wakijiajiri nao wanakumbana na kashkash zao mfano ubungo nk. Tukisema wasomi tujiajiri, mikopo inafululizana kwa kushindana riba kubwa... Jamani haya maisha ndio tz hii? Mabadiliko tunayahitaji kwa hili.

Na hii mentality ya mtu ukipata kazi cha kwanza unawaza wapi pana upenyo wa kunenepesha mfuko zinatuponza! Mtu anaeishi bila mpango kazi hususani kwa maisha yake yote mbele yake hii ndio shida inapokuja.

Tujijengee mentality tofauti za kimaisha ama kimaendeleo, knoledge nzuri inapatikana kwenye vitabu "hili nalo wengi ni -ve" mambo ya kwenda chuo/shule ili uje kuajiriwa inapotosha ubongo. Hatupendi kuumiza ubongo wetu utanuke kimawazo kuspot opportunity. Mambo ya ajira we shud put it as 2nd priority baada ya/labda kutofanikiwa ya kwanza.

Tunahitaji brush kwa kweli.

Sauth africa waliandamana kupinga kiingereza kufutwa mashuleni mwaka 1964. Kumbuka mauaji ya shapla ville. sisi tulikaa kimyaa wakati nyerere nafuta kiingereza mashuleni mwaka 1967! haya ndiyo madhara yake!
 
Wakenya kwa udokozi ndio balaa zaidi.

ndio ni wadokozi na wanapiga mzigo hata profit utaiona lakini watz wadokozi kazi hawafanyi customer care ndio sifuri kabisa mtu unaingia dukani unavutiwa mdomo!! mi acha waajiri foreigners tu waje wahindi, wabangladesh poa tu as long as napata huduma nzuri i dont care. nimeshachoka na huduma poor za watz yaani wanakuona mteja kama vile unashida saana!!
 
hii mentality ambayo mwajidanganya et watz ni wavivu ni uhuni mtupu. Almost sector zote wamaejipenyeza na kinachowaokoa ni majungu sana sio kwamba ni wachapa kazi kivile. Wakenya ni wabinafsi sana ukifanya nao kazi hata kama utakesha lazima wakuwekee majungu ufukuzwe.
Ni ukweli usiofichika wala kupingika kwamba baadhi ya Watz, tena wengi tu ni wavivu wa kufanya kazi.Hawajitumi, wao kazi kuiga domo tu na kuleta fit in a, majungu na umbea mahali pa kazi, halafu ni walalamishi kupita kiasi. Mimi ni mtanzania, lakini siwezi kuficha udhaifu mbovu wa aina hii, eti KWA kigezo kinachoitwa uzalendo, hapana.
Lakini pia, ni kweli kabisa kuwa Wakenya na(walio wengi zaidi) ni wa binafsi sana kupita kiasi, wana ukabila sana.Majungu, ubinafsi na fitina kwao zime-base kwenye ukabila zaidi.
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Siku hizi ukiingia katika ofisi mbali mbali kuanzia banks,Insurane ofisi,kampuni za utalii limekuwa jambo la kawaida kukutana na vijana wa kikenya wakifanyakazi ambazo zingefanywa na waTanzania.

Wiki mbili zilizopita nilipita TANELEC na SERENA nilichojionea huko hakifahi hata kuandikwa hakika iko siku waTanzania watapigania kujitoa EAC kama hali hii itaachwa iendelee hivi.Nafasi zote muhimu na kubwa zimeshikwa na waKenya,mishahara na marupurupu yamelundikwa kwa wageni wafanyakazi wa KiTanzania wamebaki wanyonge katika nchi yao hakuna sera mkakati wa kulinda ajira zao.Hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyosonga mbele siku hizi hata wasambaza barua wa DHL ni waKenya !.

Nyie si mnatukuza vyeti badala ya skills? Mtu binafsi awekeze hela yake halafu utegemee aajiri watu mediocre?
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Siku hizi ukiingia katika ofisi mbali mbali kuanzia banks,Insurane ofisi,kampuni za utalii limekuwa jambo la kawaida kukutana na vijana wa kikenya wakifanyakazi ambazo zingefanywa na waTanzania.

Wiki mbili zilizopita nilipita TANELEC na SERENA nilichojionea huko hakifahi hata kuandikwa hakika iko siku waTanzania watapigania kujitoa EAC kama hali hii itaachwa iendelee hivi.Nafasi zote muhimu na kubwa zimeshikwa na waKenya,mishahara na marupurupu yamelundikwa kwa wageni wafanyakazi wa KiTanzania wamebaki wanyonge katika nchi yao hakuna sera mkakati wa kulinda ajira zao.Hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyosonga mbele siku hizi hata wasambaza barua wa DHL ni waKenya !.
Wewe jinga jinga mbumbumbu mwenye chuki binafsi zidi ya Muafrika mwenzako mweusi tii kama wewe anayetafuta chakula cha kulisha ndugu zake masikini kama ndugu zako unamletea majungu umwerogwa na nani?.Ajira zote ndani ya serikali zimechukuliwa nz wazawa kwani sifa uwe Mtz ndiyo sifa zingine zinafuata.Sekta binafsi nyingi hasa kubwa zinamilikiwa na Wazungu na wakenya na swala LA ajira katika sekta binafsi ni uwezo wako kiutendaji siyo unatoka nchi gani au wewe wa rangi gani .Wewe mwenye dhambi ya ubaguzi "mbona haulalamiki madaktari wengi wa Kitanzania wameajiriwa Botswana"? .Ukiona unaachwa sekta binafsi wamegundua huna sifa au nafasi chache na wamepata aliye bora zaidi kuliko wewe. Kampuni za bima nyingi za Wakenya,Benki kubwa zimeanzia Kenya ndiyo zikaja Tanzania unategemea anapofunhua tawi jipya bongo haanze na Usahili .Kule Masaki Luna nafasi nyingi za Nazi za ndani watendaji wengi Wamalawi na wanapata sababu wanaongea kiingereza vizuri na wanalipwa mshahara kima cha chini wao wanashukuru Lakini Mndngereko ambaye hats darasa LA saba hakumaliza na lugha anayoongea ni kiswahili tu hataki kazi ya ndani na akipewa anataka mshahara laki 300000/= .Utafikiri nani akuajiri.Haya kule Mashuleni mwenye ajira ya Ualimu mtu anataka alipwe PESA nyingi wakati kazini mtoro na akiwa kazini yeye kutwa nzima anachati tu na kazi yake kusema majungu Kuhusu Muajiri wake .Hapo hata Mimi nakupiga chini tu siangalii sura yako wala kitambulisho cha Nida.Hii ni Afrika kila mtu mweusi ni ndugu yako mpende muheshimu naye amekuja kutafuta maisha kama wewe yeye ameiona fursa huku kama wewe umeiona kwake nenda acha majungu acha chuki.Ninategemea kuwa ukipenda ubaguzi ipo siku utamkataa mtoro wa mjomba wako utasema si ndugu yako .Mizimu ya Afrika ikubadilishe fikra wewe mwenye roho ya Kikaburu.
 
Piga Kazi acha wivu wa Kike...
Watanzania wamejaa wivu. Dubai inajengwa na wageni (Americans, British, Australians, Indians, Pakistanis, Philippinos, Nigerians l, Kenyans n Ugandans) hapa idadi ndogo tu mmeanza kuishiwa pumzi
 
hii mentality ambayo mwajidanganya et watz ni wavivu ni uhuni mtupu. Almost sector zote wamaejipenyeza na kinachowaokoa ni majungu sana sio kwamba ni wachapa kazi kivile. Wakenya ni wabinafsi sana ukifanya nao kazi hata kama utakesha lazima wakuwekee majungu ufukuzwe.

Unachokisema ni sahihi kabisa. Hii ishu ya uvivu na wizi imekuwa ikitumika kama kichaka cha kuhalalisha uwepo wao katika ajira. Siku hizi watz wako wengi wenye elimu nzuri, well exposed and competent sio kama ilivykuwa miaka ya zamani. Ifike mahali watz should say enough is enough, othewise this will go on and on.
 
Back
Top Bottom