kwani uzaliwa haki ya kugombea wewe huoni kuwa ni vitu viwili tofauti..wote tunajua kuwa ana haki ya kugombea..unafikiri yeye hana akili timamu hadi ajazwe ujinga na wazee wachache wenye njaa na matumbo yao ambao wanajua akishapata watakula naye? ..let see ila lazima ataumbuka akijaribu wewe huijui usoma wewe
Dr.Kafumu ni mzaliwa wa Igunga na ilikuwaje vile???