Musoma Mjini maeneo ya Mkendo Kati.
Kwa hiyo ukiongea na mama ntilie mmoja hapo Musoma mjini ndio uje utuambie wakazi wamesema?
Hivi kweli kudhalilika huku ni sababu ya 2000 za Lumumba!
ungemuomba Mod Abadilishe heading na kuwaWanabodi.
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ambaye ni kada wa chama cha mapinduzi CCM ameombwa na wakazi Musoma Mjini kugombea ubunge jimboni humo mwaka 2015.
Profesa Sospeter Muhongo, ni msomi na mzaliwa wa Musoma Mjini wakazi wa mkoa Mara wanasema wakati umefika wa kumpa ubunge Profesa Muhongo, kutokana na elimu yake pamoja na uzoefu wake ili hawatumikie wananchi wa Mkoa wa Mara.
Jimbo la Musoma Mjini kwa sasa linaongozwa na chama cha Chadema kupitia mbunge wake Vicent Nyerere.
Wakazi wengi wa Musoma Mjini wanaoneka kumkubali zaidi Prof Muhongo, kutoka utendaji wake wake katika Wizara ya Nishati na Madini.
Wanabodi.
Profesa Sospeter Muhongo, ni msomi na mzaliwa wa Musoma Mjini wakazi wa mkoa Mara wanasema wakati umefika wa kumpa ubunge Profesa Muhongo, kutokana na elimu yake pamoja na uzoefu wake ili hawatumikie wananchi wa Mkoa wa Mara.
Wakazi wengi wa Musoma Mjini wanaoneka kumkubali zaidi Prof Muhongo, kutoka utendaji wake wake katika Wizara ya Nishati na Madini.
ungemuomba Mod Abadilishe heading na kuwa
[h=2]Waislam wa Musoma Mjini wamuomba Prof Sospeter Muhongo kugombea ubunge[/h]
Maana habari hii imekaa kama mawazo ya magaidi...
Huyo tayari ni mbunge...
Msiwe na tegemeo kuwa ataendelea kupata uwaziri baada ya kuwa mbunge wenu nyie wakurya; mfahamu kuwa baada ya katiba mpya kuanza kutumika baada ya uchaguzi wa 2015 ,mawaziri hawatatokana na wabunge tena!!! Huyu Muhongo ameweza kufanya anayofanya kwasababu hana bugudha za jimbo la uchaguzi!!!
Mkuu Ritz, Yaani wammpe Ubunge kutokana na ELIMU YAKE, ili awatumikie?..by 2010 walikuwa hawajaliona hili, yaani walikuwa hawajamuona kuwa ni msomi?
-Kama wanamkubali, wameanza lini?
wakati nchi inaingia mikataba mibovu wasomi kama muhongo walikuwepo,elimu si kigezo pekee cha uongozi,wasira na usomi wake analala bungeni,endrew chenge na mikataba hovyo ya madini,acha uongo na kutapika ovyo ritz ! shame on you gamba mkubwa,NASIKIA HALAFU GAMBA LAKO LIMESHIKAMANA NA NGOZI KABISA!Wanabodi.
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ambaye ni kada wa chama cha mapinduzi CCM ameombwa na wakazi Musoma Mjini kugombea ubunge jimboni humo mwaka 2015.
Profesa Sospeter Muhongo, ni msomi na mzaliwa wa Musoma Mjini wakazi wa mkoa Mara wanasema wakati umefika wa kumpa ubunge Profesa Muhongo, kutokana na elimu yake pamoja na uzoefu wake ili hawatumikie wananchi wa Mkoa wa Mara.
Jimbo la Musoma Mjini kwa sasa linaongozwa na chama cha Chadema kupitia mbunge wake Vicent Nyerere.
Wakazi wengi wa Musoma Mjini wanaoneka kumkubali zaidi Prof Muhongo, kutoka utendaji wake wake katika Wizara ya Nishati na Madini.
Mhe. Profesa Sospeter Muhongo, ni mzaliwa wa Musoma Mjini. Ana haki ya kugombea.