mzee wandimu
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 470
- 229
hiki kitu mkuu mshika chuma nimekuwa najiuliza kila siku! yani dar ambako wanajiita wameelimika ndowanatuangusha!
njoo arusha mkuu uwambie machalii ishu kuhusu ccm wanaweza kukupiga kabisa! juzi nilikuwa pale benki vijana wote wanaongea kuhusu kuipoteza ccm
lakini nyie bado mnakomaa nao nenda hata mwanza hadi watoto wa shule za msingi hawataki ccm! ila nyie ambao kuna vyuo vingi shule nyingi media nyingi bado mnakomaa na ccm tu! vijana wa dar wengi kazi kujisifu tu wakija mikoani! hawana lolote!
njoo arusha mkuu uwambie machalii ishu kuhusu ccm wanaweza kukupiga kabisa! juzi nilikuwa pale benki vijana wote wanaongea kuhusu kuipoteza ccm
lakini nyie bado mnakomaa nao nenda hata mwanza hadi watoto wa shule za msingi hawataki ccm! ila nyie ambao kuna vyuo vingi shule nyingi media nyingi bado mnakomaa na ccm tu! vijana wa dar wengi kazi kujisifu tu wakija mikoani! hawana lolote!