Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,403
Sumu inauwa lakini kila kukicha watu wanaila na kufa..................Mkuu mimi nipo jimbo la Ilala....tena city center kariakoo na kuna miundombinu mibovu usipime! maji yanatoka kwa wiki mara moja tena ni usiku
lakini watu wanaipenda ccm maeneo haya usipime! hata huwaelimishe vipi hawasikii!