Wakazi wa DAR, tumelogwa na CCM? Kulikoni?

GreatThinkers,
Tatizo la Dar ni lile kundi linaloyumbishwa na Si Si Em.
Hilo kundi halina, lakini pia njaa kwa watu Dar imezidi.

Watu hawajifikirii unaishi kwa kutafuta nauli na kula tu, ila unangoja dili la wizi ndio ujenge au ufanye kitu xha maendeleo.
Nimekaa Dar miaka 15 naijua vizuri sana Temeke walianza Temeke miaka ie Mrema akawa Mbunge baada ya hapo ikawa kimya hadi hivi majuzi.

Mnamkumbuka Kitwana Kondo 'KK' aliwatukana wanakigamboni kuwa niliwapa Pilau langu baada ya hapo Kigamboni ikamchagua Mbunge wa CUF?

Tatizo la Dar ni njaa na watu kuwa Bize wakizani watapata unafuu wa Maisha, Maisha haya hayawezi kuwa nafuu bila huu mfumo wa kulindana kuuondoa.

Niwape mfano mdogo: Hapa Mwanza kivuko cha Busisi Mkuu wa wilaya ya Geita ndiye aliyepewa tenda ya kuwa mama Ntilie ndani zile Feri mbili za Serikali?, Je, Mnafahamu nani kawakusanyia ushuru hapo Dar akiwa na Kampuni Tanzania Parking Solutions "TPS" ahaa Kinguge, na Je- wajua kwanini UDA imepigwa mnada, Je unadhani kuna nini wanataka kule kurasini? Yard Ya Makontena ili kina Masaburi wale Mihela!

Siwalaumu, ila ngoja tutwasaidia kuwaondoa hawa wezi. Vijana tuliosoma baadhi tumerudi Kanda ya ziwa tuna mkakati wa kutosha kuiondoa Si Si Em na itaondoka 2015.

2015 Wataiba kura lakini hazitatosha.
Wilaya karibu zote za Shinyanga Si SI Em haina chake ispokuwa kuna sehemu moja inatatizo, nalo tumeshaliona Dawa yake inaandaliwa ili tuanze na uchaguzi wa mitaa kwanza.

Tumewasukuma vya kutosha na sasa tumefika Igunga, huo ni koa wa Tabora ambao haujawahi kuwa na Mbunge wa Upinzani, Hivi majuzi it was neck to neck, Si Si Em mbinu yao tushaipata.
Mkuu Spencer, ahsante kwa uchambuzi wako ulioenda shule! hakika nimekuelewa vizuri sana kuelekea kwenye mageuzi ya kweli.
Lakini wewe kwa mtizamo wako wakazi kama wa jimbo la Ilala wanaweza kubadilika kweli? maana Ilala yule mbunge wao ZUNGU wanamuona
kama mungu mtu! yaani wanamtukuza huyo Zungu kushinda hata nyerere!. Wewe unafikiri kifanyike nini ili kuwaamusha wakazi wa Ilala?
 
Maeneo ambayo yamechukuliwa na CCM ni Ilala ambayo asilimia kubwa ya wakazi ni wahindi na waarabu na wasomali,pia Temeke kwa sehemu kubwa na Kinondoni.
Mkuu kwa hapo nitabishana na wewe hadi asubuhi....si kweli kuwa Ilala,Kinindoni na Temeke wapinzani wameshindwa eti kisa kuna wahindi,waarabu
na wasomali....wakazi waliowengi kwenye majimbo hayo ni watanzania wazawa original kabisa kuliko hao wahindi nk.....sema sisi wenyewe ni wavivu
wa kufikiri.
 
Nimewasoma wengi na kubaini siku zote Chadema ni chama chenye malengo ya juu sana ya kutaka kuchukua madaraka kuiongoza tanzania bila kuwa na mipango na maandalizi mazuri katika mikakati yao.

Wengi wa wana Chadema ni mashabiki wanaoburuzwa pasi na kujua njia sahihi iwapi na kwa mtazamo huo wanafikiri kila mtu ni mtu wa kuburuzwa pasi na kutaka kujua.

Mimi ninavyojua watu wa Dar es salaam ni werevu sana na mara zote si watu wa kukurupuka pasi na kufanya udadisi wa kujua mazuri na mabaya.

Hakika Chadema ni chama kwa mtazamo wowote ule na mwenye akili timamu atagundua kina ajenda iliyofichika na ni wachache sana wanalijua hilo. Hata kwa mfano mdogo tu wa Dar. Sehemu walizoshinda katika wilaya za hapo Dar ni zile zenye bar nyingi nyingi ambazo ni Ubungo na Mbezi ambako kuna watu wengi wa kaskazini na hata wabunge wenyewe ni wa kutoka kaskazini.

Mimi nawashauri si vizuri kudandia chama pasi na kujua sera, malengo na mwerekeo wake bali kufuata mkumbo. nawapa pole sana kwa mawazo yenu mgando
 
Hatudanganyiki hii thread yakufikiria kwa njia za Masaburi. Dar yetu imetulia na katu chama pinzani hakiwezi igusa dar kwani wanajua ni moto.

Kama unataka mageuzi hama Dar yetu na nenda uko utakako na watu km ww Dar hii mmehamia tu sio wakazi wa mji huu, ondokeni Dar mrudi makwenu.

GB sio kila wakati unaongea ongea tu, wewe vipi. Hawajakwambia kwamba unanuka mdomo?
 
GreatThinkers,
Tatizo la Dar ni lile kundi linaloyumbishwa na Si Si Em.
Hilo kundi halina, lakini pia njaa kwa watu Dar imezidi.

Watu hawajifikirii unaishi kwa kutafuta nauli na kula tu, ila unangoja dili la wizi ndio ujenge au ufanye kitu xha maendeleo.
Nimekaa Dar miaka 15 naijua vizuri sana Temeke walianza Temeke miaka ie Mrema akawa Mbunge baada ya hapo ikawa kimya hadi hivi majuzi.

Mnamkumbuka Kitwana Kondo 'KK' aliwatukana wanakigamboni kuwa niliwapa Pilau langu baada ya hapo Kigamboni ikamchagua Mbunge wa CUF?

Tatizo la Dar ni njaa na watu kuwa Bize wakizani watapata unafuu wa Maisha, Maisha haya hayawezi kuwa nafuu bila huu mfumo wa kulindana kuuondoa.

Niwape mfano mdogo: Hapa Mwanza kivuko cha Busisi Mkuu wa wilaya ya Geita ndiye aliyepewa tenda ya kuwa mama Ntilie ndani zile Feri mbili za Serikali?, Je, Mnafahamu nani kawakusanyia ushuru hapo Dar akiwa na Kampuni Tanzania Parking Solutions "TPS" ahaa Kinguge, na Je- wajua kwanini UDA imepigwa mnada, Je unadhani kuna nini wanataka kule kurasini? Yard Ya Makontena ili kina Masaburi wale Mihela!

Siwalaumu, ila ngoja tutwasaidia kuwaondoa hawa wezi. Vijana tuliosoma baadhi tumerudi Kanda ya ziwa tuna mkakati wa kutosha kuiondoa Si Si Em na itaondoka 2015.

2015 Wataiba kura lakini hazitatosha.
Wilaya karibu zote za Shinyanga Si SI Em haina chake ispokuwa kuna sehemu moja inatatizo, nalo tumeshaliona Dawa yake inaandaliwa ili tuanze na uchaguzi wa mitaa kwanza.

Tumewasukuma vya kutosha na sasa tumefika Igunga, huo ni koa wa Tabora ambao haujawahi kuwa na Mbunge wa Upinzani, Hivi majuzi it was neck to neck, Si Si Em mbinu yao tushaipata.

Mkuu unasema kweli kabisa nikikumbuka jimbo la Vunjo wameingia mageuzi anzia mfumo wa vyama vingi lakini wanamaendeleo ya kushinda hapo kinondoni. Nilipata bahati ya kuwatembelea mwezi wa tatu nilishangaa kila nyumba ina bomba ya maji na wanakunywa maji safi na salama. Nilishangaa kulinganisha na wilaya zingine na miji. Mimi nipo hapa Tabata maji tunachua kwa mtu alichimba kisima cha maji tena kwa kununua na bomba kubwa la kusambaza maji limepia hapo. Walitufungia mabomba ambayo badala ya kutoa maji yanatoa hewa tu.
 
Nimewasoma wengi na kubaini siku zote Chadema ni chama chenye malengo ya juu sana ya kutaka kuchukua madaraka kuiongoza tanzania bila kuwa na mipango na maandalizi mazuri katika mikakati yao.

Wengi wa wana Chadema ni mashabiki wanaoburuzwa pasi na kujua njia sahihi iwapi na kwa mtazamo huo wanafikiri kila mtu ni mtu wa kuburuzwa pasi na kutaka kujua.

Mimi ninavyojua watu wa Dar es salaam ni werevu sana na mara zote si watu wa kukurupuka pasi na kufanya udadisi wa kujua mazuri na mabaya.

Hakika Chadema ni chama kwa mtazamo wowote ule na mwenye akili timamu atagundua kina ajenda iliyofichika na ni wachache sana wanalijua hilo. Hata kwa mfano mdogo tu wa Dar. Sehemu walizoshinda katika wilaya za hapo Dar ni zile zenye bar nyingi nyingi ambazo ni Ubungo na Mbezi ambako kuna watu wengi wa kaskazini na hata wabunge wenyewe ni wa kutoka kaskazini.

Mimi nawashauri si vizuri kudandia chama pasi na kujua sera, malengo na mwerekeo wake bali kufuata mkumbo. nawapa pole sana kwa mawazo yenu mgando


Ahaaaaa Barubaru, utafiti wako unanitia hofu sana... Hivi Mbeya mjini na Iringa mjini zipo kaskazini?
 
Shauri yenu na Dar yenu kwa ambao hamtaki mabadiliko

Jamani msipuuze pia wizi wa kura unaofanywa na CCM (votes rigiging). Nakumbuka mwaka 1995 wana Dar es Salaam tuliupigia kura upinzani specifically NCCR-MAGEUZI. Baada ya CCM kuona imepoteza majimbo yote ya Dar es Salaam including hayo ya Ilala na Kinondoni. Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya CCM (sic!) ika nulify matokeo yote ya mkoa wa Dar es Salaam.

Ikaitisha tena by election. Hiyo ni njia mojawapo ya ku rig matokeo. Hivyo kama wana Dar es Salaam na hasa vijana watajiandikisha kwa wingi kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, siku ya kupiga kura watu wakaenda wote kupiga kura na pia wakajitolea kulinda kura zao kama ubungo, believe me CCM haiambulii hata jimbo moja DSM.

CDM inabidi ifanye kazi hii kabla ya 2015. Upepo unavyokwenda comes to 2015, CCM hawataambulia hata jimbo moja la mjini isipokuwa majimbo ya mijini ya Unguja for obvious reasons. Tukishawafukuza CCM mijini huo ndio utakuwa mwisho wao.But lastly DSM mnawaangusha sana Watanzania.

Soma historia ya nchi nyingi duniani mapinduzi yote yoyte huanzia capital city na baadaye ndipo husambaa nchi nzima, hata uhuru wa Tanganyika harakati zilianzia hapo DSM. Kama Mwanza, Arusha, Moshi, Iringa, Mbeya, Lindi Mjini tumeweza kuwafukuza CCM mijini, nyinyi DSM mnashindwa nini?

Kusema kweli hamuwatendei haki Watanzania na mstakhabari wa nchi hii mmeushikilia nyinyi.

Wake-up guys.
 
mkuu nakuunga mkono kabisa kwamba sehemu zenye uswahili uswahili huwa ndo mtaji mkubwa wa ccm. angaalia mikoa ya tanga, kilwa, lindi temeke dar ambako uswahili umesheheni huko ndo wanachagua ccm. huwa nashindwa kufanya link kati ya uswahili na ccm. mikoa kama arusha, kilimanjaro, mwanza, mbeya.....nk mikoa hii hawajui uswahili ndo maana hawaitaki ccm. sasa sijui ccm inauswahili ndani yake sielewi!!
 
Nimewasoma wengi na kubaini siku zote Chadema ni chama chenye malengo ya juu sana ya kutaka kuchukua madaraka kuiongoza tanzania bila kuwa na mipango na maandalizi mazuri katika mikakati yao.

Wengi wa wana Chadema ni mashabiki wanaoburuzwa pasi na kujua njia sahihi iwapi na kwa mtazamo huo wanafikiri kila mtu ni mtu wa kuburuzwa pasi na kutaka kujua.

Mimi ninavyojua watu wa Dar es salaam ni werevu sana na mara zote si watu wa kukurupuka pasi na kufanya udadisi wa kujua mazuri na mabaya.

Hakika Chadema ni chama kwa mtazamo wowote ule na mwenye akili timamu atagundua kina ajenda iliyofichika na ni wachache sana wanalijua hilo. Hata kwa mfano mdogo tu wa Dar. Sehemu walizoshinda katika wilaya za hapo Dar ni zile zenye bar nyingi nyingi ambazo ni Ubungo na Mbezi ambako kuna watu wengi wa kaskazini na hata wabunge wenyewe ni wa kutoka kaskazini.

Mimi nawashauri si vizuri kudandia chama pasi na kujua sera, malengo na mwerekeo wake bali kufuata mkumbo. nawapa pole sana kwa mawazo yenu mgando
Duuh Barubaru!, Mkuu mbona sikuelewi? Kama wagombea wa kawe na ubungo wametokea kaskazini na vipi kuhusu wapiga kura wao?
Unataka kuniambia Ubungo na Kawe wakazi wake wote ni watu wa kaskazini? Alafu eti unasema Chadema na wakazi wa Dar tuna mawazo
mgando! yaani wewe mtu akiipinga ccm tu basi ni adui? Na hiyo siri iliyojificha ndani ya cdm ni hipi?
 
Nimewasoma wengi na kubaini siku zote Chadema ni chama chenye malengo ya juu sana ya kutaka kuchukua madaraka kuiongoza tanzania bila kuwa na mipango na maandalizi mazuri katika mikakati yao.

Wengi wa wana Chadema ni mashabiki wanaoburuzwa pasi na kujua njia sahihi iwapi na kwa mtazamo huo wanafikiri kila mtu ni mtu wa kuburuzwa pasi na kutaka kujua.

Mimi ninavyojua watu wa Dar es salaam ni werevu sana na mara zote si watu wa kukurupuka pasi na kufanya udadisi wa kujua mazuri na mabaya.

Hakika Chadema ni chama kwa mtazamo wowote ule na mwenye akili timamu atagundua kina ajenda iliyofichika na ni wachache sana wanalijua hilo. Hata kwa mfano mdogo tu wa Dar. Sehemu walizoshinda katika wilaya za hapo Dar ni zile zenye bar nyingi nyingi ambazo ni Ubungo na Mbezi ambako kuna watu wengi wa kaskazini na hata wabunge wenyewe ni wa kutoka kaskazini.

Mimi nawashauri si vizuri kudandia chama pasi na kujua sera, malengo na mwerekeo wake bali kufuata mkumbo. nawapa pole sana kwa mawazo yenu mgando

Inaonysha marafiki zako wanapata shida sana na sidhani kama una rafiki ambaye unaweza kuongea nae akakuelewa. Watu wa kaskazini sio wenzio wale wameenda shule na wamekaa darasani sio kama wewe mawazo yako yapo kwenye pilau.
 
Jamani msipuuze pia wizi wa kura unaofanywa na CCM (votes rigiging). Nakumbuka mwaka 1995 wana Dar es Salaam tuliupigia kura upinzani specifically NCCR-MAGEUZI. Baada ya CCM kuona imepoteza majimbo yote ya Dar es Salaam including hayo ya Ilala na Kinondoni. Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya CCM (sic!) ika nulify matokeo yote ya mkoa wa Dar es Salaam.

Ikaitisha tena by election. Hiyo ni njia mojawapo ya ku rig matokeo. Hivyo kama wana Dar es Salaam na hasa vijana watajiandikisha kwa wingi kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, siku ya kupiga kura watu wakaenda wote kupiga kura na pia wakajitolea kulinda kura zao kama ubungo, believe me CCM haiambulii hata jimbo moja DSM.

CDM inabidi ifanye kazi hii kabla ya 2015. Upepo unavyokwenda comes to 2015, CCM hawataambulia hata jimbo moja la mjini isipokuwa majimbo ya mijini ya Unguja for obvious reasons. Tukishawafukuza CCM mijini huo ndio utakuwa mwisho wao.But lastly DSM mnawaangusha sana Watanzania.

Soma historia ya nchi nyingi duniani mapinduzi yote yoyte huanzia capital city na baadaye ndipo husambaa nchi nzima, hata uhuru wa Tanganyika harakati zilianzia hapo DSM. Kama Mwanza, Arusha, Moshi, Iringa, Mbeya, Lindi Mjini tumeweza kuwafukuza CCM mijini, nyinyi DSM mnashindwa nini?

Kusema kweli hamuwatendei haki Watanzania na mstakhabari wa nchi hii mmeushikilia nyinyi.

Wake-up guys
.
Mkuu humo kwenye red....yaani umenena mambo mazuri sana kwa wakazi wa Dar! Hicho ndicho hata mimi kimenisukuma kuaandaa
thread hii leo! siyo siri wakazi wa Dar ni lazima tuamke na kuwa mfano mkubwa kwa wakazi wa vijijini.
 
Nakubaliana na mdau mmoja apo juu kwamba watu wa dar wengi ni wajinga hasa maeneo ya uswaz,mfano mm nakaa ukonga kuna wamama na wadada nawajua tokea nasoma primary miaka ya 90 wako wanauza maandazi biashara kubwa akibadili bagia ,vitumbua au mihogo lakini ifike kipindi cha uchaguz umwambii kitu yeye na mikanga ya ccm kofia na tshirt tena umwambiii kitu anakuwa mstari wa mbele bila kujua maisha yake duni yamesababishwa na nini ,kwahyo ccm inatumia ujinga na umaskini wa wamama wengi wa kizaramo uswaz kama mtaji wa kisiasa
 
Nakubaliana na mdau mmoja apo juu kwamba watu wa dar wengi ni wajinga hasa maeneo ya uswaz,mfano mm nakaa ukonga kuna wamama na wadada nawajua tokea nasoma primary miaka ya 90 wako wanauza maandazi biashara kubwa akibadili bagia ,vitumbua au mihogo lakini ifike kipindi cha uchaguz umwambii kitu yeye na mikanga ya ccm kofia na tshirt tena umwambiii kitu anakuwa mstari wa mbele bila kujua maisha yake duni yamesababishwa na nini ,kwahyo ccm inatumia ujinga na umaskini wa wamama wengi wa kizaramo uswaz kama mtaji wa kisiasa
Mkuu kwa mtazamo wako wewe unaona kifanyike nini ili kuwaamusha wakazi wa Dar kuelekea kwenye mabadiliko?
 
Sometime huwanawaza kwanini wakazi wa Dar-es-salaam tusiwe chachu ya mabadiliko tunayoyataka? Maana utakuta tunapigakeleleweeee lakini mwisho wa siku tunaichagua ccm! Hasa wakazi wa ILALA na KINONDONI' kwanini jamani? Tumelogwa? Hakikahaiingii akilini tunazidiwa na hata watu wa mikoani na vijijini? Tena huko watu ndiyo wamelala na hawana mwamko au mtazamo kama sisi wakazi wa Dar....iweje watu wanaokaa nje kidogo tu ya jiji letu kama Kawe, Ubungo na hata Tabata Segerea hawataki kusikia kitu kinachoitwa CCM, sasa inakuwaje sisi wakazi tunaoishi majimbo ya katikati ya mji (Ilala na Kinondoni) tumeichagua CCM kwenye ucha guzi uliyopita?Yaani nadiliki kusema hata kesho itokee uchaguzi wa ghafla Kinondoni au Ilala kama ilivyotokea Igunga basi utaona watu wanaichaguaccm kwa kura za kishindo!. jamani tatizo ni nini? tumelogwa na ccm hii iliyotunyonya kwa miaka 50 na kutulaza na giza kila siku? Hebu tazama wakazi wa Mwanza,Mbeya,Arusha,Shinyanga mjini,Iringa, Lindi mjini,Moshi mjini na vijijini,Singida vijijini,Mbozi nk hukokote hawataki tena kusikia kitu kinachoitwa ccm. Sasa iweje sisi tunaojiita wajanja wa mjini (wabongo) kila uchaguzi tunaichagua ccm?Makao makuu ya Chadema yako jimbo la kinondoni lakini cha ajabu ccm ndiyo inatawala hapo. Makao makuu ya NCCR yapo Ilala lakinicha ajabu ccm ndiyo inatawala hapo. Makao makuu ya CUF yapo Buguruni lakini cha ajabu ccm ndiyo inatawala hapo. Jamani kulikoni?Yaani makao makuu ya vyama vyetu yapo milangoni kwetu na tunaona kabisa hawa viongozi wetu wa vyama vya upinzani jinsi wanavyopambana na kutuelimisha....lakini bado mwisho wa siku tunaichagua ccm. Jamani wabongo tuna nini kwenye vichwa vyetu?Mageuzi ya kuindoa KANU yalianzia Nairobi, mageuzi ya kumuondoa Keneth Kaunda na sasa Rupia Banda yalianzia Lusaka, mageuzi yakumuondoa Ghabo wa Ivory coast yalianzia Abdijani, mageuzi ya kumuondoa rais wa Tunisia yalianzia Tunisia, mageuzi ya kumuondoaMubarak wa Egypti yalianzia Cairo na mageuzi ya kumuondoa Gaddafi wa Libya yalianzia Tripoli na baadae Beghazi. So kuna waliotoka kwa sanduku la kura na kunawaliotoka kwa kufukuzwa na wananchi. So all in all mageuzi yalianzia miji mikuu na kusambaa miji midogo.Lakini kwa hapa Tanzania mambo ni tofauti kabisa! watu wa mji mkuu wamelala usingizi mfano wa pono....yaani wanatushinda hata wakaziwa mikoani na vijijini? Hebu angalia kilichotokea Igunga' CCM imetokea kwenye tundu la sindano, chupu chupu ing'oke! Yaani ilikuwa tia maji tia maji mtu (ccm) isikate roho pale Igunga. Je wakazi wa jiji la Dar ukiondoa Kawe na Ubungo, tuna matatizo gani? tumelogwa na CCM? Au kunatatizo ambalo limejificha mie sijui? Kwa nini tusiwe kioo cha mageuzi kwa faida ya watanzania wote?. - Nawasilisha
1.Vijana wa mjini wanajifanya wajanja lkn hamna kitu(hawana pesa,hawajui kesho wanakula nini,wanalala wapi,watatibiwa vipi?}2.Vijana wa mjini hawajiandikishi kupiga kura(wanategemea miujiza,ni wa kwanza kusema maisha magumu,hawafikirii kinachowapa maisha magumu)3.Vijana wa mjini wamekata tamaa.(ukipiga sensa ya vijana ktk maeneo hayo waliowengi hawajitambui kabisa-wamelogwa)Wito kwao ni kuwa jamani vijana muda wa kujiandikisha kupiga kura ukifika MKAJIANDIKISHE.Nimeenda ARUSHA-vijana wamejitambua sana,wana mitazamo ya kisasa kuhusu maisha yao,sio wazembezembe kama wa maeneo uliyoyatajaNimeenda Mwanza-Vijana huko wajanja balaa utadhania kinondoni imehamia nyamagana,wako full equiped na info.Nimeenda Mbeya -Vijana wa huko utadhania kuna mtu anawapa darasa,wajanja sana wanajua nchi hii inavyokwenda kwa ujumla wapo up to date kinoma.
 
Kinondoni vyama vya upinzani havikusimamisha wagombea makini, Idd Azan wala hasingeshinda kusema za kweli. jamaa anazuga tu kwa kinondoni.
 
Kinondoni vyama vya upinzani havikusimamisha wagombea makini, Idd Azan wala hasingeshinda kusema za kweli. jamaa anazuga tu kwa kinondoni.
Mkuu nakubaliana na maneno yako kwa 100%.....kama CDM wangemsimamisha mtu mwenye mvuto na kukubalika na wabongo,hakika Idd Azzan
asingeshinda kabisa! sema CDM nao walibugi step kumsimamisha yule jamaa kwenye uchaguzi uliyopita....CDM wakijipanga vizuri, 2015 wanabeba
jimbo la kinondoni.
 
Sometime huwanawaza kwanini wakazi wa Dar-es-salaam tusiwe chachu ya mabadiliko tunayoyataka? Maana utakuta tunapiga
keleleweeee lakini mwisho wa siku tunaichagua ccm! Hasa wakazi wa ILALA na KINONDONI' kwanini jamani? Tumelogwa? Hakika
haiingii akilini tunazidiwa na hata watu wa mikoani na vijijini?

Tena huko watu ndiyo wamelala na hawana mwamko au mtazamo kama sisi wakazi wa Dar....iweje watu wanaokaa nje kidogo tu ya jiji letu kama Kawe, Ubungo na hata Tabata Segerea hawataki kusikia kitu kinachoitwa CCM, sasa inakuwaje sisi wakazi tunaoishi majimbo ya katikati ya mji (Ilala na Kinondoni) tumeichagua CCM kwenye ucha guzi uliyopita?

Yaani nadiliki kusema hata kesho itokee uchaguzi wa ghafla Kinondoni au Ilala kama ilivyotokea Igunga basi utaona watu wanaichagua
ccm kwa kura za kishindo!. jamani tatizo ni nini? tumelogwa na ccm hii iliyotunyonya kwa miaka 50 na kutulaza na giza kila siku?

Hebu tazama wakazi wa Mwanza,Mbeya,Arusha,Shinyanga mjini,Iringa, Lindi mjini,Moshi mjini na vijijini,Singida vijijini,Mbozi nk huko
kote hawataki tena kusikia kitu kinachoitwa ccm. Sasa iweje sisi tunaojiita wajanja wa mjini (wabongo) kila uchaguzi tunaichagua ccm?

Makao makuu ya Chadema yako jimbo la kinondoni lakini cha ajabu ccm ndiyo inatawala hapo. Makao makuu ya NCCR yapo Ilala lakini
cha ajabu ccm ndiyo inatawala hapo. Makao makuu ya CUF yapo Buguruni lakini cha ajabu ccm ndiyo inatawala hapo. Jamani kulikoni?

Yaani makao makuu ya vyama vyetu yapo milangoni kwetu na tunaona kabisa hawa viongozi wetu wa vyama vya upinzani jinsi wana
vyopambana na kutuelimisha....lakini bado mwisho wa siku tunaichagua ccm. Jamani wabongo tuna nini kwenye vichwa vyetu?

Mageuzi ya kuindoa KANU yalianzia Nairobi, mageuzi ya kumuondoa Keneth Kaunda na sasa Rupia Banda yalianzia Lusaka, mageuzi ya
kumuondoa Ghabo wa Ivory coast yalianzia Abdijani, mageuzi ya kumuondoa rais wa Tunisia yalianzia Tunisia, mageuzi ya kumuondoa
Mubarak wa Egypti yalianzia Cairo na mageuzi ya kumuondoa Gaddafi wa Libya yalianzia Tripoli na baadae Beghazi.

So kuna waliotoka kwa sanduku la kura na kunawaliotoka kwa kufukuzwa na wananchi. So all in all mageuzi yalianzia miji mikuu na kusambaa miji midogo.

Lakini kwa hapa Tanzania mambo ni tofauti kabisa! watu wa mji mkuu wamelala usingizi mfano wa pono....yaani wanatushinda hata wakazi
wa mikoani na vijijini? Hebu angalia kilichotokea Igunga' CCM imetokea kwenye tundu la sindano, chupu chupu ing'oke!

Yaani ilikuwa tia maji tia maji mtu (ccm) isikate roho pale Igunga. Je wakazi wa jiji la Dar ukiondoa Kawe na Ubungo, tuna matatizo gani? tumelogwa na CCM? Au kunatatizo ambalo limejificha mie sijui? Kwa nini tusiwe kioo cha mageuzi kwa faida ya watanzania wote?.

- Nawasilisha

Mimi ni mkazi wa Dar wapinzani waliniboa to earth

Tulipoanza vyama niliwapigia NCCR walipopata madaraka ubunge wakaanza kufarakana

Uchaguzi uliofuata nikiwapigia CUF wakaanza kupakaziana kuwa ni wadini

Uchaguzi uliofuata ndio udini ukakolea Chadema wakamsimamisha Padre (bored)

Waraka, Mwongozo...sic...nikajua bila CCM nchi itapotezwa na wabaguzi wakubwa..
 
Kihistoria jiji la Dar kitovu chake ni Ilala, yaani kata za Kariakoo, Gerezani, Kivukoni, Sharifu Shamba, Mission Quarters, Kidongo Chekundu, nk. Wakazi wa asili wa maeneo haya wengi wao walikuwa ni Mamwinyi wa Kimanyema na Waasia, hivyo basi utakuta kizazi cha hao Mamwinyi wa Kimanyema hakikujiendeleza kielimu dunia wakitegemea urithi wa nyumba za wazazi wao. Isitoshe wakati TANU inaanzishwa, hawa Mamwinyi ndio walioongoza harakati zote za awali.
Kutokana na hali hiyo hapo juu, usitegemee kupata upinzani maeneo hayo kwani wazee ni TANU/CCM na watoto hakuna elimu ya kutosha, wanategemea rizki kwa kupigia debe CCM.
Waasia, hawa wanaeleweka. Kivukoni na Upanga zote wanaishi wao, kwahiyo wana wanatishwa kwamba mkichagua upinzani mtafukuzwa nchini na biashara zenu zitataifishwa. Wamekuwa hawana jiinsi lazima wachague CCM ili waendelee kuishi.
Majimbo yaliyotoa viongozi kutoka upinzani ni majimbo mapya ambayo yalikuja kutokana na jiji kupanuka hususan watu waliotoka mikoani kufuata ajira viwandani na maofisini. Hawa baada ya kupanga kwanza kwenye hizi nyumba za Mamwinyi, baadae walianza miji yao mipya yenye watu wapya wenye mawazo mapya tofauti na wenyeji, ndio maana hata ukiachilia mbali mambo ya vyama, haya maeneo husika yameendelea na yanazidi kuendelea. Kwa hali hiyo basi, huku huwezi kusikia habari za CCM.
Temeke walibahatisha kutoa kiongozi wa upinzani sio kwa uwelewa wao, laa hasha, hii ilikuwa ni ushawishi binafsi wa Mrema kipindi kile. Laiti kama wangemsimamisha Tambwe, NCCR wasingeshinda.
Naomba kuwasilisha.

"Moringe wote ni wamasai lakini sio kila mmasai ni Moringe"
 
Back
Top Bottom