Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Naona hao wote kheri kuliko fundi nguo mara apime sehemu ya matiti mara makalio yaani taabu tupu.Ni mwendo wa kununua special tuu dukani kama ndo ivyo.
Though hatuwezi wakwepa madokta wazalishaji
Asante sana sisi tutaendela kuwasaidia kuwakatia kucha na kuwapima nguo! Mzenj usisome hapa