Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,821
Mie hua najipedicure mwenyewe hii mambo ya kwenda kushikwa shikwa miguu na mgosi siwezi.
safi sana hapo binamu
Mie hua najipedicure mwenyewe hii mambo ya kwenda kushikwa shikwa miguu na mgosi siwezi.
Haka ni ka aina kapya ka massage!!Yaani hivi vijamaa vimebuni njia tamu kweli ya kujibudurisha,mguu mmoja utakuta unashughulikiwa masaa matatu,utadhani msusi wa sangita!!Alafu mbona sioni akina dada wakifanya shughuli hii,au ndio hata wakijifunza hawatojua?
Haka ni ka aina kapya ka massage!!Yaani hivi vijamaa vimebuni njia tamu kweli ya kujibudurisha,mguu mmoja utakuta unashughulikiwa masaa matatu,utadhani msusi wa sangita!!Alafu mbona sioni akina dada wakifanya shughuli hii,au ndio hata wakijifunza hawatojua?
wasiwasi wenu tu!! wale jamaaa wamelala doro kabsaaaaaa!!kumbe wadau tulio concerned tupo wengi!
wasiwasi wenu tu!! wale jamaaa wamelala doro kabsaaaaaa!!
hahaaaaa!!! na observe tu inatosha!!!!!vipi B Uliwacheki?
hahaaaaa!!! na observe tu inatosha!!!!!
Kuna tabia ya vijana imeanza siku hizi kwa kujiajiri kukata kucha za miguu za wake wa watu na wasichana wavivu kweli inanipa wasix2.
Nimeona jinsi mmojawapo hapa anavyokumbatia mama mguu mmoja huku anakwaruza na kupuliza unyayo mpaka huyu mama anasinzia na amevaa kimini na ni mweupee pee sasa huyu kijana ananyanyua mguu mpaka begani kwake huku akiwa amekaa chini na huyu mama amekaa kwenye kiti. Na anaoneka ni mtu wa makamo ya kati.
Sidhani kama ni sahihi. labda wenzangu mnifumbue macho labda mimi mshamba.
Mi mke wangu namkata kucha mwenyewe! Period