Wajue Seal Team Six- Je, Tanzania tuna team kama hii?

Jumong S

JF-Expert Member
Jul 3, 2013
7,312
10,494
Seal team six ni branch ya US Special Naval operation iliyoanzishwa mwaka 1987. Ni team inayoundwa na makomandoo waliowekwa tayari kwa ajili ya special missions ambazo huwa ni high risky. Hawa jamaa wametrainiwa kuweza kuingia ktk high risk areas kama counter terrorism, serving hostages under high security system, ku-operate ktk strong and extra guided areas au highly technological guided places, kupambana na highly skilled enemy commandos n.k.
Team hii ndo iliyotumika kumuua gaidi namba 1 wa karne yetu Osama bin Laden huko Abotabard Pakistan.
Hebu tupanue ufahamu;
1. Je, Tanzanian commandos nao wako trained ktk viwango vya Team seal 6?
2. Hawa jamaa wana kipi zaidi cha kuwafanya wawe in high rank of commandos in the world?
3. Ni technolojia gani wanazo seal 6 zinazowatofautisha na wengine?
4. Can Tanzanian perform duties wanazoperfom seal 6?
5. Yapi malengo zaidi ya hii team adimu kabisa ulimwenguni na ni zipi extra training wanazo zaidi ya wenzao ulimwenguni?

Tiririka ujuaye ili wana-JF tujifunze zaidi.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
"Tanzania has made vast improvements in capacity building
since August 1998 within both TISS and the Tanzanian National
Police (TNP) which maintain investigative and analytical
units to work counterterrorism issues. In September 2006, a
hostage rescue team, the Crisis Response Team, was formed
with volunteers from the TNP's Field Force Unit (FFU) and
trained by the USG with Anti-Terrorist Assistance (ATA)
funding through post's Regional Security Office."

"The TNP have also welcomed the USG assistance to
establish a forensic lab, and to train personnel in capacity
building and in forensic techniques for the lab. In addition
the National Police have cooperated closely in key ATA and
INL training programs offered by the USG including on small
arms trafficking, counterterrorism, civil disorder
management, and community policing."

Read more: Cable Viewer
 
1. Je, Tanzanian commandos nao wako trained ktk viwango vya Team seal 6?
2. Hawa jamaa wana kipi zaidi cha kuwafanya wawe in high rank of commandos in the world?
3. Ni technolojia gani wanazo seal 6 zinazowatofautisha na wengine?
4. Can Tanzanian perform duties wanazoperfom seal 6?
JUMONG bana!

Hata hao Urusi au China au Japan na nchi zote za Western Europe HAZINA weledi wa kufikia SEAL ya USA ndiyo then uifananishe na TZ kweli?

Team SEAL SIX-Virginia based Comandos hawajawahi shindwa operation yyt ile waliyotumwa!

Hata hawa wateka meli wa Kisomalia sasa wamefikia hatua hawazigusi meli zenye bendera ya USA zikikatisha ghuba ya Aden maana wanajua kitakacho wakuta!
 
Last edited by a moderator:
JUMONG bana!

Hata hao Urusi au China au Japan na nchi zote za Western Europe HAZINA weledi wa kufikia SEAL ya USA ndiyo then uifananishe na TZ kweli?

Team SEAL SIX-Virginia based Comandos hawajawahi shindwa operation yyt ile waliyotumwa!

Hata hawa wateka meli wa Kisomalia sasa wamefikia hatua hawazigusi meli zenye bendera ya USA zikikatisha ghuba ya Aden maana wanajua kitakacho wakuta!
Alimanusura wachemke kwa ObL pale helikopta yao moja ilipotua vibaya na kuanguka!
 
JUMONG bana!

Hata hao Urusi au China au Japan na nchi zote za Western Europe HAZINA weledi wa kufikia SEAL ya USA ndiyo then uifananishe na TZ kweli?

Team SEAL SIX-Virginia based Comandos hawajawahi shindwa operation yyt ile waliyotumwa!

Hata hawa wateka meli wa Kisomalia sasa wamefikia hatua hawazigusi meli zenye bendera ya USA zikikatisha ghuba ya Aden maana wanajua kitakacho wakuta!

Nakumbuka walivo rescue ile meli ya maersk
 
Last edited by a moderator:
JUMONG bana!

Hata hao Urusi au China au Japan na nchi zote za Western Europe HAZINA weledi wa kufikia SEAL ya USA ndiyo then uifananishe na TZ kweli?

Team SEAL SIX-Virginia based Comandos hawajawahi shindwa operation yyt ile waliyotumwa!

Hata hawa wateka meli wa Kisomalia sasa wamefikia hatua hawazigusi meli zenye bendera ya USA zikikatisha ghuba ya Aden maana wanajua kitakacho wakuta!

Eti wale walioingia Somali hivi karibuni ili kumuua kiongozi wa Al-shabaab walikuwa kina nani? maana mission yao haikufanikiwa
 
Last edited by a moderator:
Aliekwambia kuwa Osama aliuwawa na Wamarekani usimuamini tena hata kama akikupa taarifa za msiba wa Baba yako
 
Some of these stories...haaahaaa! Jeshi letu ni moja ya majeshi bora kabisa duniani. Inawezekana technologia tu ndio inayotusumbua kwa sasa ila sio uwezo wa rasilimali watu. We have the best trust me.
 
Ni mpaka pale jeshi letu litakapokuwa ni jeshi la kuzingatia weledi na siyo ubabaishaji.
 
Eti wale walioingia Somali hivi karibuni ili kumuua kiongozi wa Al-shabaab walikuwa kina nani? maana mission yao haikufanikiwa

Chezea al shaabab ww...these guys have nothing to loose....wanapigana kwa moyo mkuu....washajitoa hao baba
 
hawa jamaa ni nouma na mafunzo yao hayana tofauti na wale vijana wa Kidon
 
Makomandoo WA Tanzania ni mabingwa WA kupasua matofali kwa mikono!!! Kwenye karne ya sayansi na teknolojia. Ni mabingwa WA sarakasi
 
Alimanusura wachemke kwa ObL pale helikopta yao moja ilipotua vibaya na kuanguka!
Mkuu nilicheki hiyo kitu BBC Knowledge last week. Ni kweli pale walicheza kama Pele! Haraka wakabadili mbinu na wakaingia ndani wakatwanga jamaa kadhaa na muhimu zaidi OBL na kuchukua nyaraka na vifaa kadhaa vya Al Qaeda. Na kabla ya kuondoka eneo la tukio waliilipua ile chopper iliyoleta mushkeli. Jamaa wako vizuri. Kazi ilipigwa chap chap na kwa ufanisi wa hali ya juu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom